• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 10:55 AM

VOLIBOLI: Kocha wa Prisons asema wako ngangari kukabili wapinzani

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wanawake ya Kenya Prisons, Josp Baraza amesema wapinzani wao wameimarisha mchezo wao lakini hilo...

Platinum yarudisha mkono kwa jamii kwa kukuza talanta za vijana mtaani

Na PATRICK KILAVUKA PLATINUM FC inapatikana jijini Nairobi inawazia kushiriki Ligi ya Kanda, Shirikisho la Soka Kenya, Nairobi West...

Kakamega kumkosa kuingo Francis Omondi

Na JOHN KIMWERE HUENDA Kakamega Homeboyz itakosa huduma za kiungo, Francis Omondi kwenye mechi zilizosalia za Ligi Kuu ya Soka la Kenya...

Tergat kushughulikia nidhamu Olimpiki ya msimu wa baridi Beijing 2022

Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Kamati ya Kitaifa ya Olimpiki Kenya (NOC-K) Paul Tergat ameteuliwa kuhudumu katika kitengo cha nidhamu cha...

Safari ya Ndula FC katika bahari ya kandanda

Na LAWRENCE ONGARO TIMU ya Ndula FC ya Thika Mashariki, imekuwa katika ulingo wa michezo kwa miaka sita mfululizo kwa lengo la kukuza...

Serikali ya Kaunti yaahidi kuwasomesha watoto wa shabiki Juma aliyeuawa

NA JOHN ASHIHUNDU SERIKALI ya Kaunti ya Kakamega imeahidi kugharimia maandalizi ya matanga ya shabiki nambari moja nchini Isaac Juma...

AFCON: Salah kuvaana na Mane kwenye fainali baada ya Misri kudengua wenyeji Cameroon kwenye nusu-fainali kupitia penalti

Na MASHIRIKA KIPA Mohamed Abou Gabaski ndiye aliibuka shujaa wa Misri baada ya kupangua penalti mbili na kusaidia kikosi chake kukomoa...

Kocha: Prisons tupo ngangari kukabili wapinzani wetu

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wanawake ya Kenya Prisons, Josp Baraza amesema wapinzani wao wameimarisha mchezo wao lakini hilo...

Kuwazia unachofanya na kukipenda ndio njia ya Kufaulu, Refa Lucy

Na PATRICK KILAVUKA Kuwa na matumaini katika ulitakalo huwa chimbuko la mawazo ya kujiwazia mema na kufaulu licha ya changamoto kuwepo...

Leo ni zamu ya Misri, Cameroon kuraruana

NA MASHIRIKA YAOUNDE, CAMEROON MAJABALI Misri na wenyeji Cameroon watakutana katika nusu-fainali ya kukata na shoka ya Kombe la...

Barcelona wathibitisha kumsajili Aubameyang bila ada yoyote

Na MASHIRIKA BARCELONA wamethibitisha kumsajili fowadi Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Arsenal bila ada yoyote. Nyota huyo raia wa...

AFCON: Senegal yazamisha Burkina Faso na kuingia fainali

Na MASHIRIKA SENEGAL walifuzu kwa fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) baada ya kukomoa Burkina Faso 3-1 mnamo Jumatano usiku nchini...