• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 4:55 PM

AFC Leopards kupiga kambi Kakamega kujinoa kwa msimu mpya

NA JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards wanatarajiwa kuondoka Nairobi mnamo Jumapili kuelekea mjimi Mumias, Kaunti ya Kakamega kwa kambi ya...

Mashabiki wa kandanda Lamu waipa Manchester City kichwa

NA KALUME KAZUNGU MASHABIKI wa soka kisiwani Lamu wamesema wanatarajia mchuano wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kati ya Manchester City na...

Limbukeni Shanderema walipuliwa na St Anthony’s

NA CECIL ODONGO LIMBUKENI Shanderema waliokuwa wanawaka moto wamepigwa 1-0 na St Anthony's Boys High School Kitale, ambao ni mabingwa...

Katambe! Ngoma ya EPL yaanza rasmi leo Ijumaa

NA MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA MABINGWA watetezi Manchester City watazamiwa kuendeleza ukatili wao dhidi ya Burnley...

Re-Union FC ina kibarua kupanda ngazi muhula ujao

NA JOHN KIMWERE TIMU ya Re-Union FC inalenga kupambana kwa udi na uvumba kuhakikisha imenasa tiketi ya kufuzu kupandishwa ngazi...

Namwamba awatuza wanahabari kwenye hafla ya kufana

NA TOTO AREGE HISTORIA imewekwa Jumatano wakati Waziri wa Michezo Ababu Namwamba amewatuza wanahabari 195 wa michezo kwa mara ya kwanza...

Kocha wa Nakuru City Queens ajiuzulu

NA TOTO AREGE KOCHA mkuu wa Nakuru City Queens Chrispin Wesonga amejiuzulu baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa msimu mmoja...

Kibera Girls na Soccer Assassins vitani kutafuta mshindi wa Divisheni ya Kwanza

NA TOTO AREGE KIBERA Girls Soccer watashuka dimbani Jumapili dhidi ya Soccer Assassins katika mechi ya kutafuta mshindi wa jumla wa Ligi...

JAGINA WA SPOTI: Alitikisa soka Harambee Starlets sasa ni katibu FKF Pwani

NA CHARLES ONGADI NI kati ya wachezaji waliong’ara sana katika timu ya taifa ya akina dada ‘Harambee Starlets’ miaka ya 90 kabla ya...

Macho kwa Japan, Uhispania Kombe la Dunia la Wanawake likiingia 16-bora

NA MASHIRIKA SYDNEY, Australia JAPAN na Uhispania wanapigiwa upatu kunyanyasa Norway na Uswisi kwenye Kombe la Dunia la Wanawake...

Nyati FC pabaya katika Ligi ya NERL

NA JOHN KIMWERE KOCHA  Michael Wanjohi  wa Nyati FC amesema wamejikuta pabaya kwenye kampeni za mechi za Zoni C Ligi ya Kanda ya...

Mane amfuata Ronaldo nchini Saudi Arabia

NA MASHIRIKA MUNICH, Ujerumani MSHAMBULIAJI Sadio Mane ameagana na klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani na kujiunga na Al Nassr ya...