• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 3:34 PM

Nipe nikupe: Arsenal warusha chini Man City na kurejea tena juu ya mti wakisubiri jibu la Liverpool

NA FATUMA BARIKI MIAMBA wa soka Arsenal wamerejea juu ya jedwali baada ya kupokeza Bighton mabao tatu kwa nunge katika mechi ya...

Arsenal inayomhemea beki Kimmich wa Bayern yaambiwa ‘tuongee baada ya kazi’

TETESI ZA MASTAA NA CECIL ODONGO MIAMBA wa Ujerumani (Bundesliga), Bayern Munich, wameambia Arsenal watulize boli kwanza hadi mwisho wa...

Kilio huko Man U wakipoteza mechi waliyokuwa wanashinda ndani ya dakika mbili

LONDON, Uingereza BRUNO Fernandes amelia kuwa Manchester United ililala ikizamishwa 4-3 na Chelsea hapo Alhamisi ugani Stamford Bridge...

Mambo ni unyo unyo ‘Ndovu’ Arsenal ikikanyaga Luton na kurejea juu ya mti

LONDON, Uingereza KOCHA Mikel Arteta amejaa furaha baada ya vijana wake kubwaga Luton Town 2-0 licha ya kuwa hakuna nafasi ya kupumua,...

Alan Shearer: Mtarajie mabadiliko juu ya jedwali la EPL Jumatano usiku

LONDON, Uingereza MWANASOKA mstaafu, Alan Shearer amesema ingawa Liverpool wako uongozini mwa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa pointi 67,...

Wachanganuzi washikilia ‘Ndovu’ Arsenal hawatabeba taji la EPL licha ya sare na Man City

MANCHESTER, UINGEREZA: ARSENAL wangali nyuma ya viongozi Liverpool na mabingwa watetezi Manchester City katika orodha ya timu zinazopigiwa...

Nusra Man City imuue Ndovu ikimshusha juu ya mti

NA MWANGI MUIRURI  ARSENAL iliponea chupuchupu katika kipute chake na Man City Jumapili jioni, Machi 31, 2024 huku timu zote mbili...

Kenya yahimizwa kuiga mataifa ya Ulaya kukuza wanawake katika soka

NA TOTO AREGE akiwa Mjini Barcelona, Uhispania MCHEZAJI wa zamani wa Harambee Starlets Jackline Juma anasema, Kenya inahitaji kuiga...

Mechi ngumu ya kutoa picha halisi ya mustakabali wa ‘Ndovu’ Arsenal

JOHN ASHIHUNDU Na MASHIRIKA LIGI Kuu ya Uingereza (EPL) itafika hatua muhimu Jumapili jioni wakati Arsenal wanaoshikilia nafasi ya kwanza...

Bondia Tyson Fury ataka mkewe amfyatulie watoto 10 wafunge kazi!

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO BONDIA matata raia wa Uingereza, Tyson Fury, amedokeza kuwa yeye na mkewe Paris Fury wanatarajia mtoto wa nane...

Talanta Hela ya Kenya yanyakua Kombe la Costa Daurada

NA TOTO AREGE akiwa BARCELONA, UHISPANIA TIMU ya wavulana wa umri wa chini ya miaka 19 ya Talanta Hela ya Kenya ndio mabingwa wa toleo...

Okumbi amwaga sifa kwa timu za Talanta Hela

NA TOTO AREGE akiwa BARCELONA, UHISPANIA TIMU za Talanta Hela za wavulana na wasichana wa chini ya umri wa miaka 19, zitaipeleka Kenya...