• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Uingereza kuwakilishwa na vikosi vinane kwenye soka ya bara Ulaya 2023-24

Na MASHIRIKA UINGEREZA itakuwa na wawakilishi wanane kwenye vipute vitatu vya soka ya bara Ulaya msimu ujao wa 2023-24. Newcastle...

Ruto, Raila wapongeza Faith Kipyegon kwa kuweka rekodi mpya ya dunia

Na GEOFFREY ANENE NYOTA wa mbio za mita 1,500 Faith Chepng’etich Kipyegon amemininiwa sifa tele baada ya kufuta rekodi ya dunia ya...

Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya: Guardiola asipobeba taji atasaga meno

Na MASHIRIKA MANCHESTER City watashuka leo Jumamosi ugani Ataturk Olympic jijini Istanbul, Uturuki, kuvaana na Inter Milan ya Italia...

Dereva Takamoto Katsuta alenga kumakinika kwenye mbio za Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE MJAPANI Takamoto Katsuta anatumai kuandikisha matokeo mazuri kwenye raundi ya saba ya Mbio za Magari Duniani (WRC)...

Wanakriketi wa Kenya waanza Kombe la Afrika kwa kulima Rwanda

Na VICTOR OTIENO WENYEJI Kenya walianza makala ya kwanza ya Kombe la Afrika la kriketi ya Continent Twenty20 International (T20I) kwa...

Wanagofu 110 kuwania taji la KCB East Africa Golf Tour Kisumu

Na GEOFFREY ANENE KLABU ya gofu ya Nyanza itakuwa mwenyeji wa duru ya sita ya mashindano mapya ya KCB East Africa Golf Tour jijini Kisumu...

Waogeleaji 200 kutafuta ufanisi Kiambu kesho Jumamosi

Na GEOFFREY ANENE ZAIDI ya waogeleaji 200 wamethibitisha kushiriki mashindano ya kuogelea ya Shirikisho la Uogeleaji Kenya (KSF) tawi la...

Viongozi wahimizwa kupiga jeki wanamichezo

NA LAWRENCE ONGARO WANAMICHEZO katika Kaunti ya Kiambu wanatoa malalamiko wakisema kukosa ufadhili ni tishio kwa vipaji vyao. Haya...

Gor, Tusker na Homeboyz taabani kwa kukosa timu za wanawake

NA JOHN ASHIHUNDU MASHARTI magumu ya Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) huenda yakainyima Kenya fursa ya kuwakilishwa katika...

West Ham wakomoa Fiorentina na kufuzu kwa soka ya Europa League baada ya kushinda taji la Europa Conference League

Na MASHIRIKA WEST Ham United walikomesha ukame wa miaka 43 bila taji lolote la haiba kubwa kabatini mwao baada ya Jarrod Bowen...

Messi ateua kuhamia Amerika kuchezea Inter Miami licha ya ofa nono kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia

Na MASHIRIKA NGULI wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, atajiunga na kikosi cha Inter Miami nchini Amerika baada ya kuagana na...

AFC Leopards yapokonya Mukangula na Thiong’o majukumu ya unahodha baada ya mgomo baridi

NA JOHN ASHIHUNDU KLABU ya AFC Leopards imewapokonya mamlaka manahodha wake Eugene Mukangula na Peter Thiong’o. Taarifa ya klabu...