• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:07 PM

Manchester United wafuzu kucheza michuano ya Klabu Bingwa Ulaya

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United wanaweza kupumua sasa baada ya kubomoa Chelsea 4-1 mnamo Alhamisi na...

Isuzu yazindua gari la kipekee ‘Eliud Kipchoge 1:59 Isuzu D-Max’

Na AYUMBA AYODI MAGARI maalum ya “Eliud Kipchoge 1:59 Isuzu D-Max Limited” yamezinduliwa kwa heshima ya bingwa huyo mara mbili wa...

Man-United wazamisha Chelsea 4-1 katika EPL ugani Old Trafford na kufuzu kwa soka ya UEFA 2023-24

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijikatia tiketi ya kunogesha soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao wa 2023-24 baada ya kukomoa...

Omanyala afanya mazoezi nchini Ufaransa kabla ya Rabat Diamond League

Na GEOFFREY ANENE MTIMKAJI Ferdinand Omanyala yuko mjini Miramas, Ufaransa kwa mazoezi kabla ya kuanza kampeni yake ya riadha za Diamond...

Thamani ya Saka yapanda mara 5, sasa kutia mfukoni Sh2.5 bilioni kila mwaka

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA THAMANI ya nyota chipukizi wa Arsenal, Bukayo Saka, imepanda mara tano ndani ya miaka mitatu. Miaka...

Gaspo Women kususia mechi dhidi ya Vihiga Queens

NA AREGE RUTH  GASPO Women huenda wakapata adhabu kali, ikiwa hawatacheza mechi yao ya mwisho wa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini...

Rais wa Tanzania ajitokeza kusaidia Yanga kwa hali na mali

JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amejitolea kwa hali na mali kuhakikisha klabu ya Young Africans (Yanga)...

Mandonga ‘Mtu Kazi’ kusisimua tena Nairobi

NA CHARLES ONGADI BONDIA mwenye tambo kibao kutoka Tanzania, Karim ‘Mtu Kazi' Mandonga ameratibiwa kuzichapa tena na Daniel Wanyonyi...

Chepng’etich kuvizia rekodi ya dunia ya 1500m Monaco Diamond League

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Faith Chepng’etich Kipyegon huenda akatimiza ndoto yake ya kuwa mshikilizi wa rekodi ya dunia ya mbio za mita...

Kiatu cha Dhahabu: Wendy Atieno na Airin Madalina wahemeshana

NA AREGE RUTH WASHAMBULIZI Airin Madalina (Bunyore Starlets) na Wendy Atieno (Thika Queens), wanahemeshana katika kuwania kiatu cha...

Madereva 34 waingia WRC Safari Rally tayari kuonyeshana ubabe Juni

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA 34 kutoka mataifa 19 wamethibitisha kuwania taji la duru ya dunia ya mashindano ya mbio za magari za Safari...

Vihiga Queens waelekeza macho yote kwa CECAFA

NA AREGE RUTH KOCHA wa Vihiga Queens Boniface Nyamunyamu anasema, wanaelekeza macho yote katika mashindano ya Baraza la Vyama vya Soka vya...