• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 6:55 AM

Arsenal watoshana nguvu na Brentford kwa sare ya 1-1 katika EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL walipoteza fursa ya kufungua mwanya wa alama nane kati yao na nambari mbili Manchester City kileleni mwa jedwali la...

Tundo, Carol Radull wapata kazi Safari Rally, Talanta Hela mtawalia

AYUMBA AYODI Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba ameteua dereva Carl Tundo na mwanahabari Carol Radul kuendesha miradi ya...

Olivier Giroud abeba AC Milan dhidi ya Torino katika Ligi Kuu ya Italia

Na MASHIRIKA AC Milan walitamatisha msururu wa matokeo duni ya kutoshinda mechi saba mfululizo katika Ligi Kuu ya Italia (Serie A) baada...

Thiago Silva sasa kuchezea Chelsea hadi Julai 2024

Na MASHIRIKA BEKI mzoefu raia wa Brazil, Thiago Silva, ametia saini mkataba wa mwaka mmoja utakaomshuhudia sasa akichezea Chelsea hadi...

KCB, Kabras wabomoa wapinzani, Monks na Machine wakiduwaza Homeboyz na Mwamba

NA GEOFFREY ANENE KCB na Kabras Sugar wamedumisha rekodi zao za kutoshindwa kwenye Ligi Kuu ya raga nchini (Kenya Cup) baada ya kupepeta...

Chelsea watoshana nguvu na West Ham United katika EPL ugenini

Na MASHIRIKA WEST Ham United waliendeleza masaibu ya Chelsea katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kuwalazimishia sare ya 1-1...

Vihiga Queens na Gaspo Women kidedea KWPL, Zetech na Bunyore watoshana nguvu

NA AREGE RUTH VIHIGA Queens waliendelea kuganda kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), baada ya ushindi wa 1-0...

GUMZO: Auba hana raha tena Chelsea baada ya kutemwa UEFA

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO MSHAMBULIZI Pierre-Emerick Aubameyang anakaribia kuondoka Chelsea kuelekea Los Angeles inayoshiriki Ligi Kuu...

NYOTA WA WIKI: Brennan Johnson

NA GEOFFREY ANENE BRENNAN ni mmoja wa mafundi wanaoongoza ufufuo wa washiriki wapya wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Nottingham...

KCB yapiga jeki gofu ya Safari Tour kwa Sh1 milioni

Na GEOFFREY ANENE BENKI ya KCB imetangaza kudhamini raundi ya mwisho ya mashindano ya gofu ya Safari Tour kwa Sh1 milioni,...

Warembo wa Lyon wapewa Chelsea huku Arsenal wakimenyana na Bayern Munich kwenye robo-fainali za UEFA

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Chelsea watakutana na Olympique Lyon ambao ni mabingwa watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwenye robo-fainali...

Cristiano Ronaldo acheka na nyavu mara nne na kupitisha mabao 500 ligini

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga mabao manne katika ushindi wa 4-0 uliosajiliwa na waajiri wake Al Nassr dhidi ya Al Wehda katika...