• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 5:29 PM

GUMZO: Auba hana raha tena Chelsea baada ya kutemwa UEFA

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO MSHAMBULIZI Pierre-Emerick Aubameyang anakaribia kuondoka Chelsea kuelekea Los Angeles inayoshiriki Ligi Kuu...

NYOTA WA WIKI: Brennan Johnson

NA GEOFFREY ANENE BRENNAN ni mmoja wa mafundi wanaoongoza ufufuo wa washiriki wapya wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Nottingham...

KCB yapiga jeki gofu ya Safari Tour kwa Sh1 milioni

Na GEOFFREY ANENE BENKI ya KCB imetangaza kudhamini raundi ya mwisho ya mashindano ya gofu ya Safari Tour kwa Sh1 milioni,...

Warembo wa Lyon wapewa Chelsea huku Arsenal wakimenyana na Bayern Munich kwenye robo-fainali za UEFA

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Chelsea watakutana na Olympique Lyon ambao ni mabingwa watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwenye robo-fainali...

Cristiano Ronaldo acheka na nyavu mara nne na kupitisha mabao 500 ligini

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga mabao manne katika ushindi wa 4-0 uliosajiliwa na waajiri wake Al Nassr dhidi ya Al Wehda katika...

Hamza Anwar aanza Mbio za Magari Uswidi bila nuksi

NA GEOFFREY ANENE DEREVA Mkenya Hamza Anwar ana kibarua kigumu cha kuridhisha katika raundi ya kwanza ya Mbio za Magari za Dunia (WRC)...

AFC yaibebesha Talanta mabao, Posta Rangers na Wazito zikitoka sare

JOHN ASHIHUNDU Na CECIL ODONGO AFC Leopards jana Alhamisi ilisajili ushindi mkubwa katika Ligi Kuu (KPL) msimu huu baada ya kuikomoa FC...

Familia ya mwanariadha Tirop yapinga kupunguzwa kwa mashtaka ya mshukiwa

TITUS OMINDE Na PATRICIA KIABI FAMILIA ya mwanariadha wa kimataifa Agnes Tirop imepinga kujihusisha na majadiliano ya kupunguzwa kwa...

Alexis Sanchez aongoza Olympique Marseille kung’oa PSG kwenye raundi ya 16-bora ya French Cup

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Manchester United na Inter Milan, Alexis Sanchez, alifunga bao na kusaidia waajiri wake...

Pigo kwa Spurs jeraha la goti likitarajiwa kumweka mkekani kipa Hugo Lloris kwa wiki nane zijazo

Na MASHIRIKA KIPA na nahodha wa Tottenham Hotspur, Hugo Lloris, 36, atasalia mkekani kwa kipindi cha wiki sita au nane zijazo kuuguza...

Real Madrid yakomoa Al Ahly ya Misri na kujikatia tiketi ya kuvaana na Al Hilal ya Saudi Arabia katika fainali ya Kombe la Dunia kwa Klabu

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya bara la Afrika kuwakilishwa kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa Klabu (Club World Cup) kwa mara ya tatu katika...

Matano alia refa alipendelea Gor, Nzoia ikisalia juu

NA CECIL ODONGO MABAO ya haraka katika kipindi cha pili jana Jumatano yaliisaidia Nzoia Sugar kuendelea kuongoza Ligi Kuu (KPL) baada...