Na MASHIRIKA CHIPUKIZI wa Uingereza, Jude Bellingham na Jamie Bynoe-Gittens walifunga bao kila mmoja na kusaidia Borussia Dortmund...
NA AREGE RUTH VIHIGA Queens waliendelea kusalia kileleni mwa jedwali na alama 16 baada ya raundi ya sita ya mechi za Ligi Kuu ya...
Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) kwa mara ya nne msimu huu wa 2022-23 kwenye Ligi Kuu ya...
Na MASHIRIKA MABAO matatu ya kipindi cha kwanza yalisaidia Atletico Madrid kuwakomoa Real Valladolid 3-0 katika Ligi Kuu ya Uhispania (La...
AREGE RUTH Na OSBORN MANYENGO WANAJESHI wa Ulinzi Starlets walipoteza mechi ya kwanza nyumbani jana Jumapili, waliponyoroshwa 3-1 na...
Na MASHIRIKA ARSENAL waliendelea kudhibiti kilele cha jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya bao la dakika ya mwisho kutoka kwa...
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Bernard Kipkirui na Beatrice Cheserek wametawala mbio za Vila de Santa Pola Half Marathon nchini Uhispania,...
Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Youssoufa Moukoko amerefusha mkataba wake kambini mwa Borussia Dortmund hadi Juni 30, 2026. Mkataba wa awali wa...
Na MASHIRIKA KOCHA Frank Lampard amesema haogopi kabisa kupigwa kalamu ugani Goodison Park licha ya msururu wa matokeo duni yaliyoshuhudia...
Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers wamejinasia huduma za beki mzoefu Craig Dawson kutoka West Ham United kwa Sh508 milioni. Difenda...
Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa hawakuwa na lao katika Kundi A baada ya kuzidiwa maarifa na Samoa, Fiji na Ufaransa kwenye duru ya nne ya...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF ALIYUKUWA kocha wa Thika Queens FC Joseph Oyoo ameamua kuanzisha timu ya wasichana wa umri wa miaka 10 hadi 15 kwa...