• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Chipukizi Jude Bellingham na Jamie Bynoe-Gittens wabeba Borussia Dortmund katika Bundesliga

Na MASHIRIKA CHIPUKIZI wa Uingereza, Jude Bellingham na Jamie Bynoe-Gittens walifunga bao kila mmoja na kusaidia Borussia Dortmund...

Vihiga Queens na Nakuru City Queens wapigana vita vikali KWPL

NA AREGE RUTH VIHIGA Queens waliendelea kusalia kileleni mwa jedwali na alama 16 baada ya raundi ya sita ya mechi za Ligi Kuu ya...

Haaland afunga hat-trick ya nne katika mechi 19 za EPL na kufikisha jumla ya mabao 31 akichezea Man-City

Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) kwa mara ya nne msimu huu wa 2022-23 kwenye Ligi Kuu ya...

Atletico yakung’uta Real Valladolid katika La Liga na kuingia ndani ya mduara wa nne-bora jedwalini

Na MASHIRIKA MABAO matatu ya kipindi cha kwanza yalisaidia Atletico Madrid kuwakomoa Real Valladolid 3-0 katika Ligi Kuu ya Uhispania (La...

Nakuru City Queens wanyorosha Ulinzi Starlets, Zetech Sparks ikisagasaga Kayole

AREGE RUTH Na OSBORN MANYENGO WANAJESHI wa Ulinzi Starlets walipoteza mechi ya kwanza nyumbani jana Jumapili, waliponyoroshwa 3-1 na...

Arsenal wakomoa Man-United uwanjani Emirates na kuendeleza ubabe wao katika EPL msimu huu

Na MASHIRIKA ARSENAL waliendelea kudhibiti kilele cha jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya bao la dakika ya mwisho kutoka kwa...

Kipkirui na Cheserek watamba Santa Pola Half Marathon Uhispania

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Bernard Kipkirui na Beatrice Cheserek wametawala mbio za Vila de Santa Pola Half Marathon nchini Uhispania,...

Fowadi Youssoufa Moukoko arefusha mkataba wake kambini mwa Borussia Dortmund hadi Juni 2026

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Youssoufa Moukoko amerefusha mkataba wake kambini mwa Borussia Dortmund hadi Juni 30, 2026. Mkataba wa awali wa...

Kocha Frank Lampard katika hatari ya kutimuliwa ugani Goodison Park baada ya West Ham kutandika Everton

Na MASHIRIKA KOCHA Frank Lampard amesema haogopi kabisa kupigwa kalamu ugani Goodison Park licha ya msururu wa matokeo duni yaliyoshuhudia...

Wolves wamsajili beki mzoefu Craig Dawson kutoka West Ham United

Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers wamejinasia huduma za beki mzoefu Craig Dawson kutoka West Ham United kwa Sh508 milioni. Difenda...

Shujaa wazidiwa maarifa Hamilton 7s kujiweka pabaya zaidi Raga za Dunia

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa hawakuwa na lao katika Kundi A baada ya kuzidiwa maarifa na Samoa, Fiji na Ufaransa kwenye duru ya nne ya...

Kocha Oyoo anoa nyota wa kesho

NA ABDULRAHMAN SHERIFF ALIYUKUWA kocha wa Thika Queens FC Joseph Oyoo ameamua kuanzisha timu ya wasichana wa umri wa miaka 10 hadi 15 kwa...