Na MASHIRIKA KOCHA Roberto de Zerbi amesema masogora wake wa Brighton wana kiu ya kunogesha soka ya bara Ulaya msimu ujao baada ya mabao...
Na GEOFFREY ANENE EVANGELINE Makena Kathenya ameibuka mshindi wa mbio za nyika za Nairobi katika kitengo cha kinadada cha kilomita 10...
NA GEOFFREY ANENE HUWEZI kuzungumzia uendeshaji wa baiskeli nchini Kenya bila kumtaja Nancy Akinyi Debe. Mwanadada huyo ameweka Kenya...
NA GEOFFREY ANENE MARCUS Rashford ni mmoja wa wachezaji wanaosisimua mashabiki wa soka nje na ndani ya Uingereza, akivalia jezi nambari 10...
NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United na Arsenal watakuwa mawindoni katika mechi kubwa za wikendi hii kulipiza kisasi...
NA AREGE RUTH MECHI tano za Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), zimepangwa kupigwa katika nyuga tofauti tofauti nchini. Kesho...
Na MASHIRIKA FULHAM waliendeleza masaibu ya kocha Graham Potter baada ya kupokeza Chelsea kichapo cha 2-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza...
Na MASHIRIKA BARCELONA watakutana sasa na watani wao wa tangu jadi, Real Madrid, kwenye fainali ya Spanish Super Cup msimu huu baada ya...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamemsajili fowadi matata raia wa Uholanzi, Wout Weghorst kwa mkopo kutoka Burnley. Weghorst alihudumu...
Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Ufaransa, Hugo Lloris, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa akiwa na umri wa miaka 36. Nahodha...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United watavaana na Nottingham Forest nao Southampton kumenyana na Newcastle United kwenye nusu-fainali ya Carabao...
Na AYUMBA AYODI MABINGWA wa zamani wa mataji ya Chama cha Ndondi Afrika (ABU) Rayton "Boom Boom" Okwiri na Daniel Wanyonyi wameapa...