• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 6:55 PM

Man-United wamsajili fowadi Wout Weghorst wa Uholanzi kwa mkopo

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamemsajili fowadi matata raia wa Uholanzi, Wout Weghorst kwa mkopo kutoka Burnley. Weghorst alihudumu...

Kipa Hugo Lloris wa Ufaransa astaafu soka ya kimataifa

Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Ufaransa, Hugo Lloris, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa akiwa na umri wa miaka 36. Nahodha...

Man-United wapewa Forest huku Southampton wakikutana na Newcastle kwenye nusu-fainali ya Carabao Cup

Na MASHIRIKA MANCHESTER United watavaana na Nottingham Forest nao Southampton kumenyana na Newcastle United kwenye nusu-fainali ya Carabao...

Mabondia Wakenya Okwiri, Wanyonyi waapa kumaliza Watanzania Mandonga, Ndaro

Na AYUMBA AYODI MABINGWA wa zamani wa mataji ya Chama cha Ndondi Afrika (ABU) Rayton "Boom Boom" Okwiri na Daniel Wanyonyi wameapa...

Wanariadha 40 wa Team Kenya wakita kambi Kigari kwa mbio za nyika za dunia

Na AYUMBA AYODI TIMU ya taifa ya Kenya itakayoshiriki mashindano ya Mbio za Nyika za Dunia nchini Australia mwezi Februari, itakuwa na...

Kocha Graham Potter hatarini

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza HUENDA kocha Graham Potter akafutwa kazi leo Alhamisi usiku iwapo Chelsea watachapwa na Fulham kwenye...

Olunga abeba Al Duhail ligini Qatar katika ushindi dhidi ya Umm Salal

Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIZI Michael ‘Engineer’ Olunga amefufua matumaini ya kuhifadhi taji la mfungaji bora kwenye Ligi Kuu ya Soka...

Gareth Bale aangika daluga zake katika ulingo wa soka akiwa na umri wa miaka 33

Na MASHIRIKA NAHODHA wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale, ameangika daluga zake katika ulingo wa soka akiwa na umri wa miaka 33. Nyota...

Omanyala, Chebet wafuzu kuwa polisi kutumikia umma

AYUMBA AYODI na AGNES MAKHANDIA MABINGWA wa Jumuiya ya Madola Ferdinand Omanyala (mbio za mita 100) na Beatrice Chebet (5,000m) sasa ni...

Ababu aomba CAF irejeshe Harambee Stars dimba la AFCON 2023

Na CECIL ODONGO WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba jana Jumatatu aliomba Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) lishauriane na lile la...

Fainali za Elijah Lidonde kuchezwa Ijumaa ugani Bukhungu

NA JOHN ASHIHUNDU MBIVU na mbichi kwenye makaka ya kwanza ya mashindano ya Elijah Lidonde kwa timu za vijana itajulikana Ijumaa mjini...

Injera atua Fiji kwa mashindano ya McDonald’s Fiji Coral Coast Sevens

NA GEOFFREY ANENE NYOTA wa timu ya Kenya ya raga ya wachezaji saba kila upande, Collins Injera yuko nchini Fiji kwa ziara ya wiki moja...