Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamemsajili fowadi matata raia wa Uholanzi, Wout Weghorst kwa mkopo kutoka Burnley. Weghorst alihudumu...
Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Ufaransa, Hugo Lloris, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa akiwa na umri wa miaka 36. Nahodha...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United watavaana na Nottingham Forest nao Southampton kumenyana na Newcastle United kwenye nusu-fainali ya Carabao...
Na AYUMBA AYODI MABINGWA wa zamani wa mataji ya Chama cha Ndondi Afrika (ABU) Rayton "Boom Boom" Okwiri na Daniel Wanyonyi wameapa...
Na AYUMBA AYODI TIMU ya taifa ya Kenya itakayoshiriki mashindano ya Mbio za Nyika za Dunia nchini Australia mwezi Februari, itakuwa na...
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza HUENDA kocha Graham Potter akafutwa kazi leo Alhamisi usiku iwapo Chelsea watachapwa na Fulham kwenye...
Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIZI Michael ‘Engineer’ Olunga amefufua matumaini ya kuhifadhi taji la mfungaji bora kwenye Ligi Kuu ya Soka...
Na MASHIRIKA NAHODHA wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale, ameangika daluga zake katika ulingo wa soka akiwa na umri wa miaka 33. Nyota...
AYUMBA AYODI na AGNES MAKHANDIA MABINGWA wa Jumuiya ya Madola Ferdinand Omanyala (mbio za mita 100) na Beatrice Chebet (5,000m) sasa ni...
Na CECIL ODONGO WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba jana Jumatatu aliomba Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) lishauriane na lile la...
NA JOHN ASHIHUNDU MBIVU na mbichi kwenye makaka ya kwanza ya mashindano ya Elijah Lidonde kwa timu za vijana itajulikana Ijumaa mjini...
NA GEOFFREY ANENE NYOTA wa timu ya Kenya ya raga ya wachezaji saba kila upande, Collins Injera yuko nchini Fiji kwa ziara ya wiki moja...