• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Mwinyi apiga tizi balaa akilenga kuitwa Hit Squad

NA CHARLES ONGADI BONDIA Mwinyi Kombo Faki wa klabu ya Kongowea inayoshiriki Ligi Kuu ya Ndondi Nchini anaendeleza mazoezi makali akilenga...

Pele azikwa kishujaa nje kidogo ya uwanja wa Santos

JOHN ASHIHUNDU Na MASHIRIKA GWIJI wa soka, Edson Arantes do Nascimento, maarufu kama Pele amezikwa leo Jumanne kishujaa nje kidogo ya...

Barcelona na Espanyol nguvu sawa katika mechi ya La Liga iliyoshuhudia refa akichomoa kadi 16 za manjano na mbili nyekundu

Na MASHIRIKA BARCELONA walilazimishiwa sare ya 1-1 na Espanyol katika pambano la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumamosi ugani...

PSG wapoteza mechi kwa mara ya kwanza tangu Machi 2022

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walipoteza mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa mara ya kwanza tangu Machi 2022 baada ya...

Chelsea wapoteza alama muhimu katika EPL baada ya kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Nottingham Forest

Na MASHIRIKA UTEPETEVU wa Chelsea uliruhusu Nottingham Forest kutoka nyuma na kulazimishia mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya Uingereza...

Aston Villa washiba sifa za kocha wao Unai Emery baada ya kupepeta Tottenham 2-0 katika EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Unai Emery alikuwa mwingi wa sifa kwa masogora wake wa Aston Villa waliopokeza Tottenham Hotspur kichapo cha 2-0 katika...

Violet Nanjala aingia 2023 akiogopwa zaidi na makipa nchini Morocco

NA AREGE RUTH NYOTA wa Harambee Starlets Violet Nanjala, alifunga mwaka 2022 akiwa kileleni mwa jedwali la wafungaji bora ambapo alikuwa...

Man-City wapoteza alama muhimu baada ya Everton kuwalazimishia sare ya 1-1 katika EPL ugani Etihad

Na MASHIRIKA BEKI John Stones wa Manchester City amesema alama moja iliyookotwa na waajiri wake dhidi ya Everton baada ya sare ya 1-1...

TUSIJE TUKASAHAU: Ni muhimu walimu wakuu watafute idhini ya wizara kabla mabasi kutumika kwa shughuli za kijamii

WATU wawili walifariki jana katika ajali iliyohusisha Basi la Shule ya Upili ya Wasichana la Moi Suba katika soko la Ekerenyo, kaunti ya...

Jagina Pele, aliyewahi kuzuru Kenya, atazikwa Jumanne

NA MASHIRIKA RIO DE JANEIRO, BRAZIL JAGINA wa soka duniani, Pele, atazikwa siku ya Jumanne jijini Sao Paulo baada ya maombolezo ya...

Huyu ‘Iniesta’ wa Nzoia ni hatari kwa pasi za maangamizi

NA CECIL ODONGO NZOIA Sugar ni kati ya timu ambazo zimeshangaza wengi msimu huu kutokana na jinsi ambavyo inafanya vyema katika Ligi Kuu...

NYOTA WA WIKI: Miguel Almiron

NA GEOFFREY ANENE MIGUEL Almiron amejitokeza kwa nguvu kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wa 2022-2023 akichezea Newcastle...