NA CHARLES ONGADI BONDIA Mwinyi Kombo Faki wa klabu ya Kongowea inayoshiriki Ligi Kuu ya Ndondi Nchini anaendeleza mazoezi makali akilenga...
JOHN ASHIHUNDU Na MASHIRIKA GWIJI wa soka, Edson Arantes do Nascimento, maarufu kama Pele amezikwa leo Jumanne kishujaa nje kidogo ya...
Na MASHIRIKA BARCELONA walilazimishiwa sare ya 1-1 na Espanyol katika pambano la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumamosi ugani...
Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walipoteza mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa mara ya kwanza tangu Machi 2022 baada ya...
Na MASHIRIKA UTEPETEVU wa Chelsea uliruhusu Nottingham Forest kutoka nyuma na kulazimishia mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya Uingereza...
Na MASHIRIKA KOCHA Unai Emery alikuwa mwingi wa sifa kwa masogora wake wa Aston Villa waliopokeza Tottenham Hotspur kichapo cha 2-0 katika...
NA AREGE RUTH NYOTA wa Harambee Starlets Violet Nanjala, alifunga mwaka 2022 akiwa kileleni mwa jedwali la wafungaji bora ambapo alikuwa...
Na MASHIRIKA BEKI John Stones wa Manchester City amesema alama moja iliyookotwa na waajiri wake dhidi ya Everton baada ya sare ya 1-1...
WATU wawili walifariki jana katika ajali iliyohusisha Basi la Shule ya Upili ya Wasichana la Moi Suba katika soko la Ekerenyo, kaunti ya...
NA MASHIRIKA RIO DE JANEIRO, BRAZIL JAGINA wa soka duniani, Pele, atazikwa siku ya Jumanne jijini Sao Paulo baada ya maombolezo ya...
NA CECIL ODONGO NZOIA Sugar ni kati ya timu ambazo zimeshangaza wengi msimu huu kutokana na jinsi ambavyo inafanya vyema katika Ligi Kuu...
NA GEOFFREY ANENE MIGUEL Almiron amejitokeza kwa nguvu kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wa 2022-2023 akichezea Newcastle...