• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Claudio Ranieri arejea Italia kuwa kocha wa klabu ya Cagliari aliyowahi kuinoa zaidi ya miaka 30 iliyopita

Na MASHIRIKA CLAUDIO Ranieri ameaajiriwa tena kuwa kocha wa Cagliari, zaidi ya miaka 30 tangu apokezwe mikoba ya kudhibiti kikosi hicho...

Wachezaji wawili wa Harambee Starlets wajiunga na Sethu FC nchini India

NA AREGE RUTH NAHODHA wa Harambee Starlets Dorcus Shikobe Nixon na kiungo mshambuliaji wa Starlets Omondi Ivy Faith, wamejiunga na klabu...

Benzema aangika daluga za gozi la timu yake ya taifa

NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MSHAMBULIAJI matata Karim Benzema amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya hapo awali kujiondoa...

Qatar yaweka rekodi kwa kuandaa Kombe la Dunia katika mazingira mazuri

NA JOHN ASHIHUNDU MARA tu walipopewa fursa ya kuandaa Kombe la Dunia mnamo 2010, taifa la Qatar liliweka utaratibu wa kuhakikisha kila...

Kombe la Dunia lilikuwa na ufanisi mkubwa

NA JOHN ASHIHUNDU KWA muda wa mwezi mmoja, mashabiki wa soka kote duniani walitosheka na burudani ya michuano ya Kombe la Dunia...

Hatimaye ndoto ya Messi yatimia

NA JOHN ASHIHUNDU BAADA ya kuwakilisha Argentina kwenye fainali za Kombe la Dunia bila mfanikio, hatimaye ndoto ya Lionel Messi imetimia...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Messi kuendelea kuchezea Argentina, kocha wake atamani anogeshe fainali za dunia 2026

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amesema hatastaafu soka ya kimataifa baada ya kuongoza Argentina kutawazwa mabingwa wa Kombe la Dunia kwa mara...

Firat ndiye kocha mkuu wa Harambee Stars

NA JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu wa Shirikisho la Kitaifa la Soka (FKF), Barry Otieno amethibitisha kwamba Engin Firat ataendelea kuwa...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Jinsi Croatia walivyoridhika na shaba Morocco wakirejea nyumbani kishujaa

Na MASHIRIKA KOCHA Zlatko Dalic amesema kubwa zaidi katika mipango yake kwa sasa ni kuongoza Croatia kunyanyua ubingwa wa kipute cha Uefa...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Nahodha Luka Modric kuendelea kuchezea Croatia hadi Juni-Julai 2023 baada ya kutwaa shaba ya Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA NAHODHA Luka Modric ana mipango ya kuendelea kusakata soka ya kimataifa hadi mwishoni mwa fainali za Uefa Nations League...

Naibei, Jepchirchir watawala Iten Marathon, watia mfukoni Sh1 milioni

Na FRED KIBOR SAMUEL Naibei na Caroline Jepchirchir wameibuka washindi wa makala ya kwanza ya mbio za Iten Marathon zilizofanyika kwenye...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina yaizidi maarifa Ufaransa kupitia penalti

CHRIS ADUNGO Na GEOFFREY ANENE ARGENTINA ndio wafalme wapya wa soka duniani baada ya kufunga Ufaransa penalti 4-2 kufuatia sare ya 3-3...