• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Ufaransa wacharaza Morocco 2-0 na kujikatia tiketi ya kumenyana na Argentina kwenye fainali

Na MASHIRIKA UFARANSA watavaana sasa na Argentina kwenye fainali ya Kombe la Dunia mwaka huu wa 2022 nchini Qatar baada ya kupokeza...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Fainali ya Disemba 18, 2022 kuwa ya mwisho kwa Lionel Messi katika historia ya Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Argentina, Lionel Messi amesema fainali ya Disemba 18, 2022 itakuwa yake ya mwisho kusakata katika kipute cha...

Shabana yawika baada ya ushindi

NA JOHN ASHIHUNDU SHABANA FC imeendeleza ubabe wake baada ya kuibwaga Mombasa Elite 1-0 katika pambano la Supa Ligi (NSL) lililochezewa...

Esse Akida atuzwa kiatu cha dhahabu kwa kuibuka mfungaji bora nchini Uturuki

NA AREGE RUTH MSHAMBULIAJI wa Harambee Starlets Esse Akida, ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini Uturuki msimu wa 2021/22...

Atlas Lions ina nafasi kubwa ya kutinga fainali

NA MASHIRIKA DOHA, Qatar KABLA ya fainali hizi kuanza nchini hapa, hakuna aliyeipa Atlas Lions nafasi ya kufikia umbali huu wa...

Je, Ufaransa itapenya ngome ya Morocco?

NA JOHN ASHIHUNDU MECHI ya nusu-fainali baina ya mabingwa wa Kombe la Dunia Ufaransa na Morocco inazidi kuvutia hisia kabla ya kung'oa...

Namwamba atangaza matumizi ya pufya kuwa tishio kwa Kenya

Na GEOFFREY ANENE MAMBO yanatarajiwa kuwa magumu zaidi kwa wanamichezo wa Kenya wanaotumia dawa za kusisimua misuli kutafuta...

Tennis Kenya kuadhimisha miaka 100 kwa kuombea Okutoyi mafanikio mema na kupanda miti Kasarani

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Tenisi Kenya (Tennis Kenya) litapanda miti 100 katika sehemu ya shamba la Kasarani ambalo serikali...

Moraa ni miongoni mwa 7 waliopokea tuzo ya heshima kutoka kwa Rais Ruto

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa michezo ya Jumuiya ya Madola mbio za mita 800, Mary Moraa yuko katika orodha ya wanamichezo saba waliopokea...

Crescent United: Timu wembe inayoinua soka mashinani

NA PATRICK KILAVUKA CRESCENT United inapatikana Mlolongo, kaunti ndogo ya Mavoko, Kaunti ya Machakos. Inayo matumaini tele kunyakua...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Ufaransa wabandua Uingereza na kufuzu kwa nusu-fainali itakayowakutanisha na Morocco

Na MASHIRIKA UINGEREZA waliaga Kombe la Dunia mwaka huu katika hatua ya robo-fainali baada ya Ufaransa kuwapepeta 2-1 ugani Al Bayt mnamo...

Mashabiki wa soka jijini Kisumu wapata utamu wa Kombe la Dunia

NA AREGE RUTH MASHABIKI wa soka jijini Kisumu, walipata burudani aali siku ya Jumamosi walipotizama mechi za robo-fainali za Kombe la...