• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Soka: Fahamu jinsi Kinale Girls inavyojiandaa kwa ajili ya mashindano ya mwaka 2023

NA LAWRENCE ONGARO SHULE ya upili ya wasichana ya Kinale Girls, kaunti ya Kiambu, inajipanga kivingine ili kurejea na mbinu geni katika...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Giroud afikia rekodi ya Thierry Henry ya mfungaji bora wa muda wote kambini mwa Ufaransa

Na MASHIRIKA MABAO mawili yaliyofungwa na Olivier Giroud katika ushindi wa 4-1 uliosajiliwa na Ufaransa dhidi ya Australia mnamo Jumanne...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Pigo zaidi kwa Ufaransa baada ya kubainika jeraha la goti litamweka beki Lucas Hernandez nje ya mechi zote zilizosalia

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Ufaransa, wamepata pigo jingine baada ya beki Lucas Hernandez kupata jeraha la goti...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Morocco watoshana nguvu na Croatia katika mechi ya Kundi F

Na MASHIRIKA WANAFAINALI wa Kombe la Dunia 2018, Croatia, walianza kampeni zao za mwaka huu nchini Qatar kwa sare tasa dhidi ya Morocco...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Japan wazamisha chombo cha Ujerumani kwa kichapo cha 2-1 katika mechi ya Kundi E

Na MASHIRIKA JAPAN walitoka nyuma na kufunga mabao mawili ya haraka mwishoni mwa kipindi cha pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wafalme...

Nassir aongea kuhusu uhusiano wake na Ruto

NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa, Bw Abdulswamad Nassir, ameelezea sababu za kuanza kushirikiana na Rais William Ruto, na viongozi...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Ufaransa waanza kutetea ufalme wao kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Australia

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Ufaransa, walianza kampeni za kipute hicho mwaka huu kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Poland na Mexico watoshana nguvu katika Kundi C baada ya Lewandowski kupoteza penalti

Na MASHIRIKA KIGOGO Robert Lewandowski alipoteza mkwaju wa penalti katika mchuano wa Kundi C ulioshuhudia timu yake ya taifa ya Poland...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Saudi Arabia yaduwaza dunia baada ya kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Argentina 2-1 katika Kundi C

Na MASHIRIKA LIMBUKENI Saudi Arabia walitoka nyuma na kupepeta Argentina 2-1 katika miongoni mwa matokeo ya kuduwaza zaidi katika historia...

Tunisia na Denmark waumiza bure nyasi za uwanja wa Education City katika mchuano wa Kundi D

Na MASHIRIKA DENMARK na Tunisia walitoshana nguvu katika mechi ya Kundi D iliyowakutanisha uwanjani Education City, Al Rayyan. Licha...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Ujerumani yalenga mwanzo bora mwaka huu kwa ushindi dhidi ya Japan katika Kundi E

Na MASHIRIKA UJERUMANI watashuka ugani Khalifa International mnamo Novemba 23, 2022 wakilenga ushindi muhimu dhidi ya Japan katika Kundi E...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Tunisia wasema wako tayari kwa mtihani wa Denmark katika Kundi D

Na MASHIRIKA TUNISIA almaarufu Carthage Eagles watafungua kampeni za Kombe la Dunia kwa kibarua kizito dhidi ya Denmark katika uga wa...