• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Chuo Kikuu cha Auburn kumfaa nyota Angella Okutoyi kujiendeleza

Na GEOFFREY ANENE MWANATENISI Angella Okutoyi hatimaye ametangaza chuo kikuu atakachoendeleza tenisi yake na masomo. Kupitia mitandao ya...

Cristiano Ronaldo afikisha mabao 700 tangu aanze kusakata soka katika ngazi ya klabu

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga bao lake la 700 katika ngazi ya klabu na kusaidia waajiri wake Manchester United kutoka nyuma na...

Arsenal yazamisha chombo cha Liverpool na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema ushindi wa 3-2 uliosajiliwa na waajiri wake Arsenal dhidi ya Liverpool katika Ligi Kuu ya...

Chepng’etich na Kipruto mibabe Chicago Marathon

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Ruth Chepng’etich aliibuka malkia mpya wa Chicago Marathon baada ya kuongoza mbio hizo kutoka mwanzo hadi mwisho...

Green Eagle FC yabanduliwa nje Taifa Ngano Cup

NA ABDULRAHMAN SHERIFF MABINGWA mara mbili wa Taifa Ngano Super Cup, Green Eagles FC ilibanduliwa nje ya mashindano ya Taifa Ngano Super...

Borussia Dortmund watoka nyuma na kulazimishia Bayern Munich sare ya 2-2 katika Bundesliga

Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kulazimishia Bayern Munich sare ya 2-2 katika gozi kali la Ligi Kuu ya...

Olunga afunga mabao mawili Al Duhail ikitinga nusu-fainali Ooredoo Cup

NA GEOFFREY ANENE Mshambulizi matata Michael Olunga alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia Al Duhail kuzamisha Al Rayyan 3-0 na...

PSG waambulia sare tasa dhidi ya Reims ligini

Na MASHIRIKA BEKI Sergio Ramos alionyeshwa kadi nyekundu kwa mara ya 28 katika taaluma yake ya usogora wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya...

Harry Kane aongoza Spurs kucharaza Brighton katika mchuano wa EPL

Na MASHIRIKA HARRY Kane alifunga bao lake la nane msimu huu na kusaidia Tottenham Hotspur kupepeta Brighton 1-0 katika Ligi Kuu ya...

Mbappe awapita Messi na Ronaldo orodha ya mastaa wakwasi duniani

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe, 23, ameongoza orodha ya Forbes ya wanasoka wanaodumishwa kwa ujira mkubwa zaidi duniani – mara ya kwanza kwa...

AC Milan wakomoa Juventus katika Serie A na kuweka kocha Massimiliano Allegri katika hatari ya kupigwa kalamu

Na MASHIRIKA AC Milan waliendeleza masaibu ya kocha Massimiliano Allegri katika kikosi cha Juventus kwa kusajili ushindi wa 2-0 mnamo...

Real Madrid wazamisha Getafe na kupaa hadi kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kutandika Gatafe 1-0 mnamo Jumamosi...