Na MARGARET MAINA
ILI mwili wa mwanadamu uweze kukaa na kunawiri vizuri, ni lazima upate virutubisho vinavyoitwa madini.
Tutazame madini yajulikanayo kwa kimombo kama madini ya zinc (zinki).
Inakadiriwa kuwa mwili wa mwanadamu una hadi gramu mbili (2) za zinki, ambapo asilimia 60 hupatikana kwenye misuli na thelathini kwenye mifupa, ingawa hupatikana mwili mzima.
Zinc inatekeleza majukumu mbali mbali mwilini ambapo imeonyesha kuimarisha kinga ya mwili, kuimarika kwa mfumo wa fahamu, huboresha sukari mwilini, hupambana na mafua, huimarisha uponaji wa vidonda, husaidia kukabili matatizo ya akili, matatizo ya kupoteza hamu na ladha ya chakula, matatizo ya sikio, na kadhalika.
Vyakula vyenye madini ya zinc kwa wingi
Dalili za ukosefu wa madini ya zinc mwilini