Tag: 14 Riverside
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Polisi wanasa washukiwa 2 wa uvamizi katika hoteli
VALENTINE OBARA Na RICHARD MUNGUTI POLISI Jumatano waliwakamata washukiwa wawili wa ugaidi wanaoaminika kuhusika katika shambulio la...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Gaidi alikuwa katika WhatsApp ya ‘Nyumba Kumi’ Ruaka
Na STELLA CHERONO MAJIRANI wa mmoja wa wagaidi walioaminika kuhusika katika shambulizi la DusitD2 walimtaja kama jamaa aliyekuwa anakaa...
- by adminleo
- January 16th, 2019
Walinzi wapewe bunduki, asema Atwoli
NA MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Muungano wa Wafanyakazi Kenya (COTU), Francis Atwoli analitaka Bunge kupitisha sheria itakayowaruhusu...
- by adminleo
- January 16th, 2019
Aliyenusurika Westgate 2014 aponea chupuchupu Dusit D2
VALENTINE OBARA NA NYABOGA KIAGE BAADA ya milio ya risasi na vilipuzi kuzima katika kituo cha 14 Riverside ambako kuna Hoteli ya DusitD2...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Majonzi shabiki maarufu kufariki siku yake ya kuzaliwa
Na PETER MBURU JAMII ya soka inaomboleza baada ya shabiki maarufu kwa jina James Oduor, anayetambulika kama 'Odu Cobra’ kuangamia katika...
- by adminleo
- January 16th, 2019
DUSIT D2: Aliyeponea shambulio la 9/11 Amerika aangamia Riverside
Na PETER MBURU MWANAUME raia wa Marekani ambaye aliponea wakati wa shambulio la bomu nchini Marekani mnamo 2001, almaarufu 9/11, ni mmoja...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Wanahabari wa NTV wasimulia hali ilivyokuwa Riverside
Na PETER MBURU MWANAHABARI wa NTV Silas Apollo na mpiga picha wake Dickson Onyango ni baadhi ya watu ambao wameokolewa kufuatia vamizi...
- by adminleo
- January 16th, 2019
Tunataka kuwapa wasomaji wetu picha za hali halisi, New York Times yajitetea
Na PETER MBURU SHIRIKA la habari kutoka Marekani New York Times limesukumwa hadi ukutani na Wakenya na wasomaji wake kwa jumla, hadi...
- by adminleo
- January 16th, 2019
INAYAT KASSAM: Mzalendo halisi wakati wa mashambulizi ya kigaidi
Na PETER MBURU BW Inayat Kassam amewavutia Wakenya wengi kwa ujasiri wake namna alijitokeza Jumanne kuwaokoa Wakenya ambao walivamiwa...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Wanao Khalwale na Mudavadi wanusuriwa
Na PETER MBURU FURAHA ilitanda nyusoni mwa viongozi Boni Khalwale, Musalia Mudavadi na Beatrice Adagala (Mwakilishi mwanamke wa kaunti...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Matukio makuu ya kigaidi awali hapa Kenya
Na VALENTINE OBARA MASHAMBULIO mengi ya kigaidi yametokea nchini Kenya tangu Jeshi la Taifa (KDF) lilipoingia Somalia kukabiliana na...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Mitandao ya kijamii ilivyotumika kupasha ulimwengu habari
Na PETER MBURU INTANETI Jumanne ilitumiwa pakubwa kufahamishana kuhusu uvamizi katika hoteli ya Dusit huku baadhi ya waliokuwa kwenye...