Tag: 2022
RUTO AMNYIMA RAILA USINGIZI
Na VALENTINE OBARA HATUA zinazochukuliwa na Naibu Rais William Ruto kujikuza kisiasa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2022 zimeonekana kuzindua...
Mgogoro wa Sudi ulivyofichua siri ya vita vya UhuRuto
Na LEONARD ONYANGO KIZAAZAA wakati wa kukamatwa kwa Mbunge wa Kapseret, Bw Oscar Sudi kimefichua namna uhusiano baina ya Rais Uhuru...
Tempes kijana anayeandaliwa kuwarithi Ole Ntimama na Nkaisery Umaasaini
Na WANDERI KAMAU JAMII ya Wamaasai imeanza harakati za kutafuta mrithi na msemaji wake kisiasa ielekeapo 2022, kwenye hatua inayolenga...
Kizungumkuti cha Mukhisa Kituyi katika uchaguzi wa 2022
Na CHARLES WASONGA UJIO wa Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo (UNCTAD), Dkt Mukhisa Kituyi katika...
Raila na Ruto wataifaa Kenya?
Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga hawana uwezo wa kuboresha maisha ya Wakenya iwapo yeyote kati...
Lazima niwanie urais 2022 – Kalonzo
NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, amesisitiza kuwa atawania urais mnamo 2022 licha ya chama chake kuwa...
Ruto hajakomaa kisiasa, asubiri 2027 – Atwoli
JUMA NAMLOLA na PATRICK LANG’AT KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (Cotu), Bw Francis Atwoli amemtaka Naibu Rais William...
Huyu Mutua ni twiga, amejitokeza ChapChap!
Na BENSON MATHEKA KUJITOSA rasmi kwa Gavana wa Machakos Alfred Mutua katika kinyang’anyiro cha urais kwenye uchaguzi mkuu ujao ni...
Ukuruba na Jubilee sumu ya Raila kwa ndoto yake 2022
Na BENSON MATHEKA UKURUBA wa kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta unaweza kumharibia sifa kinara huyu wa...
- by adminleo
- August 8th, 2020
Uhuru, Ruto na Mudavadi wamenyania kura za Mlima Kenya
Na MWANGI MUIRURI Vita vya kimaneno vimechipuka kati ya wafuasi wa Rais Uhuru Kenyatta, William Ruto na Musalia Mudavadi eneo la Mlima...
- by adminleo
- August 8th, 2020
Huu si wakati wa kusaka kura za 2022 – Raila
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga Ijumaa aliwataka wanachama wa chama hicho wakomesha kampeni za mapema za uchaguzi mkuu...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Afisa wa serikali apondwa kutangatanga akijipigia debe kwa miradi ya maji
NA MWANGI MUIRURI KATIBU katika Wizara ya Maji Joseph Wairagu ameteswa na wanasiasa katika Kaunti ya Murang’a kwa madai ya...