Tag: AFCON
- by adminleo
- June 22nd, 2019
Uganda yaanza Afcon kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya DRC
Na GEOFFREY ANENE CRANES ya Uganda imeanza kampeni ya kutafuta medali yake ya pili kwenye Kombe la Afrika (AFCON) baada ya nishani ya...
- by adminleo
- June 21st, 2019
AFCON: Lazima kieleweke Cairo!
Na JOHN ASHIHUNDU KIKOSI cha Harambee Stars ni miongoni mwa timu 24 zitakazoshiriki katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika...
- by adminleo
- June 20th, 2019
AFCON: Mataifa yaliyojipanga kwa mtanange Vs yale yanayochangisha fedha
Na GEOFFREY ANENE MATAIFA mengi yanayoshiriki Kombe la Afrika (AFCON) nchini Misri mwaka 2019 yametangaza motisha ya kifedha kwa timu...
- by adminleo
- June 20th, 2019
AFCON: Jiandaeni kwa kipute cha joto kali Misri – CAF
Na GEOFFREY ANENE KENYA pamoja na mataifa 23 yatakayoshiriki Kombe la Afrika (AFCON) mwaka 2019 yameonywa na Shirikisho la Soka barani...
- by adminleo
- June 20th, 2019
AFCON: Mastaa watakaokosekana uwanjani na sababu zao
Na GEOFFREY ANENE KAMA wewe ni shabiki wa Pierre-Emerick Aubameyang, Joel Matip, Emmanuel Adebayor na Gervinho jua kwamba utahitajika...
- by adminleo
- June 20th, 2019
AFCON: Mamilioni yatakayong’ang’aniwa na timu 24
Na GEOFFREY ANENE KENYA itajizolea tuzo ya Sh458.5 milioni ikiwa Harambee Stars itafaulu kutwaa ubingwa wa kindumbwendumbwe cha Kombe la...
- by adminleo
- June 20th, 2019
AFCON: Timu zitaumiza nyasi katika viwanja hivi
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara saba Misri watatumia viwanja saba vya kimataifa kuandaa Kombe la Afrika (AFCON) mwaka 2019 Uwanja...
- by adminleo
- June 18th, 2019
ODONGO: Tuwache lalama na tuunge Harambee Stars Afcon inapoanza
Na CECIL ODONGO MWISHONI mwa wiki hii, mashindano ya Taifa Bingwa Afrika (AFCON) yanatarajiwa kung’oa nanga huku Kenya kwa mara ya...
- by adminleo
- June 15th, 2019
Harambee Stars yapokea mavazi rasmi ya kutumika Afcon
Na JOHN ASHIHUNDU PARIS, Ufaransa MAVAZI rasmi yatakayotumiwa na kikosi cha Harambee Stars wakati wa michuano ya AFCON yamepokelewa...
- by adminleo
- June 13th, 2019
Migne afichua siri ya kuzima Algeria na Senegal Afcon
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha Harambee Stars kinatarajiwa kuondoka jijini Paris, Ufaransa mwishoni mwa wiki hii na kuelekea Madrid,...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Nyota wa Cranes wazidi kujaajaa kambi ya mazoezi
Na JOHN ASHIHUNDU MSHAMBULIAJI matata, Emmanuel Arnold Okwi, kipa Robert Ondongkara wa Adama City FC ya Ethiopia, mlinzi hodari Ronald...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Nigeria wasadiki ubingwa wa AFCON mara hii ni wao
Na CHRIS ADUNGO NAHODHA wa zamani wa Super Eagles ya Nigeria, Joseph Yobo anaamini miamba hao wa soka wana kila sababu ya kutawazwa...