Tag: AFRIKA
WANDERI KAMAU: Uamuzi kuhusu Sankara ulete mwanga mpya Afrika
Na WANDERI KAMAU SABABU nyingi ambazo zimekuwa zikichangia maovu kuendelea Afrika na nchi zenye chumi za kadri, ni kutochukuliwa hatua...
Biden aahidi kushirikiana na Afrika
Na AFP WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden Ijumaa aliahidi kushirikiana na Afrika katika nyanja mbalimbali huku akiahidi...
FAUSTINE NGILA: Kukwamilia WhatsApp ni ithibati Afrika haitambui usiri wa data
Na FAUSTINE NGILA JE, umehama kutoka mtandao wa kijamii wa WhatsApp? Iwapo ungali kwenye jukwaa hilo linalomilikiwa na Facebook, basi...
Bara la Afrika lalala huku dunia ikianzisha chanjo ya corona
LEONARD ONYANGO na MASHIRIKA NCHI za Afrika zimo hatarini kubaki nyuma katika vita dhidi ya virusi vya corona wakati mataifa mengine...
- by adminleo
- August 4th, 2020
AU yazindua mfumo wa dijitali kukomesha corona barani
NA FAUSTINE NGILA HUKU mataifa kadha ya Afrika yekirejelea safari za ndege za kimataifa mwezi huu kwa mara ya kwanza tangu Machi, Umoja...
- by adminleo
- December 10th, 2019
Afrika yashauriwa kukoma kuwanyima vijana nafasi maishani
NA ALLAN OLINGO VIONGOZI wa bara Afrika wamehimizwa kupatia kipaumbele masuala yanayohusu vijana. Suala hilo lilijitokeza katika...
- by adminleo
- December 10th, 2019
Afrika yakosolewa kwa kushindwa kuzuia mikasa
Na JUMA NAMLOLA MJUMBE Maalum wa Umoja wa Ulaya, Bi Jutta Urpilainen, ameyahimiza mataifa wanachama wa Muungano wa Afrika, Carribean na...
- by adminleo
- November 24th, 2019
WALIBORA: Uvumbuzi wa Kiafrika kwa matatizo yao ni hatua kubwa
Na KEN WALIBORA Kudidimia kwa utashi wa bidhaa za Afrika nchini Marekani, Ulaya na kwingineko kumechochea ari ya nchi za Kiafrika...
- by adminleo
- November 8th, 2019
WANDERI: Afrika itahadhari kuhusu nia halisi ya Urusi
Na WANDERI KAMAU BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kujiunga na viongozi wengine wa Afrika majuma mawili yaliyopita nchini Urusi kwa kongamano...
- by adminleo
- September 10th, 2019
NGILA: Bila ushirikiano kiteknolojia #AfricaRising itasalia ndoto tu
Na FAUSTINE NGILA RIPOTI ya hivi majuzi kuhusu uchumi wa dijitali iliyochapishwa na Umoja wa Mataifa (UN) imetoa takwimu za kushtua....
- by adminleo
- April 4th, 2019
MUTUA: Mwafrika anajihini mengi kuchukia nduguye mweusi
Na DOUGLAS MUTUA HIVI chuki hii ya Mwafrika dhidi ya Mwafrika mwenzake anayeamua kuhamia ughaibuni kujitafutia riziki ilitokana na...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Sera ya lugha ya kufundishia katika mataifa ya Afrika
Na MARY WANGARI NCHINI Msumbiji, lugha ya kufundishia inayotumika ni Kireno, ingawa marekebisho ya Katiba ya taifa hilo ya mwaka 1990...