• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 7:50 AM

Wawili wajeruhiwa baada ya V8 kugonga nguzo za barabarani

Na SAMMY WAWERU WATU wawili Jumanne wamenusurika kifo baada ya gari walimokuwa kupoteza mwelekeo na kugonga chuma katika barabara kuu ya...

Mmoja afariki katika ajali Limuru

Na MARY WANGARI MTU mmoja amefariki Jumatano abiria wengine kadhaa wakiuguza majeraha mabaya kufuatia ajali iliyohusisha matatu na lori...

Mmoja apata majeraha baada ya kuhusika katika ajali Thika Road

Na SAMMY WAWERU WATU watano walinusurika kifo katika ajali iliyotokea Jumatano jioni katika barabara ya Thika Superhighway. Ajali...

Watatu wanusurika baada ya lori kuanguka Thika Superhighway

Na SAMMY WAWERU WATU watatu Jumamosi wamenusurika kifo baada ya lori la kusafirisha kokoto na vifaa vya ujenzi kuanguka eneo la Carwash...

Wawili wanusuruka kifo katika ajali Thika Superhighway

Na SAMMY WAWERU WATU wawili Jumamosi wamenusurika kifo baada ya lori walimokuwa kuhusika katika ajali mbaya katika barabara ya Thika...

Watatu wafariki, wanane wajeruhiwa kwenye ajali eneo la Kyumbi

Na BENSON MATHEKA WATU watatu wamefariki na wengine wanane kulazwa hospitalini baada ya magari mawili kuhusika kwenye ajali eneo la...

Sita wafa katika ajali

Na SAMUEL BAYA WATU sita walifariki Jumamosi katika ajali iliyotokea kwenye barabara kuu ya Nakuru-Kericho. Kulingana na maafisa wa...

Watu 5 waangamia kwenye ajali

NA MWANDISHI WETU Watu watano waliangamia kwenye ajali hapo Jumamosi katika barabara kuu ya Nakuru kuelekea Kericho. Ajali hiyo...

YASIKITISHA: Badala ya mwangaza nyaya za stima zasababisha maafa mtaa wa mabanda wa Bangladesh

Na WINNIE ATIENO NYAYA za stima zinaning'inia vibaya katika nyumba za wakazi wa mtaa wa mabanda wa Bangladesh, Mombasa na watoto...

KAFYU: Wanne wanusurika kifo

NA SAMMY WAWERU Watu wanne walinusurika kifo Jumatatu jioni baada ya gari walimokuwa kuhusika katika ajali mbaya katika barabara kuu ya...

Taahira aponea baada ya ambulansi aliyoendesha kugongana na lori

JEREMIAH KIPLAGAT na STANLEY KIMUGE MGONJWA wa akili Jumanne alijeruhiwa vibaya alipoamua kuendesha ambulansi kutoka Hospitali ya...

NMG yamwomboleza mhariri wa The East African

Na AGGREY MUTAMBO KAMPUNI ya Nation Media Group (NMG) kwa mara nyingine inaomboleza kifo cha mwanahabari katika kipindi kisichozidi...