Tag: Ajenda Nne Kuu
- by adminleo
- February 29th, 2020
Kufikia Ajenda 4 Kuu za Uhuru ni ndoto – PBO
Na DAVID MWERE ITAKUWA vigumu Rais Uhuru Kenyatta kutimiza Ajenda zake Nne Kuu kabla ya kuondoka mamlakani 2022 ikiwa serikali...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Yatani aahidi kutekeleza Ajenda Nne Kuu
Na CHARLES WASONGA KAIMU waziri wa Fedha Ukur Yatani amemshukuru Rais Uhuru Kenyatta kwa kumteua kwa wadhifa huo, huku akitoa ahadi...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Uhuru atakiwa apuuze Ajenda 4 Kuu ili kuzima ufisadi kwanza
Na MARY WAMBUI ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu, Bw William Kabogo amemtaka Rais Uhuru Kenyatta, aweke kando utekelezaji wa Ajenda Nne Kuu na...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Mawaziri wafisadi wa Uhuru wanavyoua Ajenda Nne Kuu
Na MWANDISHI WETU JUHUDI za Rais Uhuru Kenyatta kutimiza ajenda zake nne kuu za maendeleo nchini kabla ya kustaafu mwaka 2022 zinazidi...
- by adminleo
- February 14th, 2019
AJENDA YA CHAKULA: Serikali inavyoua kilimo nchini
Na LEONARD ONYANGO WAKULIMA nchini wanakabiliwa na matatizo tele baada ya Serikali kuonekana kuchukua hatua ambazo ni kinyume na ajenda...
- by adminleo
- February 6th, 2019
WASONGA: Tulimpa Uhuru mamlaka, mbona awalilie wananchi kila mara?
Na CHARLES WASONGA WAKENYA huachwa na maswali chungu nzima wanapomsikiza na kumtizama Rais Uhuru Kenyatta akiwakaripia mawaziri wake kwa...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Ajenda Nne Kuu: Rais akutana na viongozi wa magharibi na Kalonzo
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne katika Ikulu ya Nairobi alifanya mashauriano na viongozi kutoka kaunti tano za magharibi...
- by adminleo
- October 4th, 2018
MAMBO NI MAGUMU
Na BENSON MATHEKA MALUMBANO kati ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga, yamemwongezea Rais Uhuru Kenyatta matatizo...
- by adminleo
- September 24th, 2018
TAHARIRI: Maneno hayatasaidia Kenya kupata ustawi
NA MHARIRI AZMA ya Rais Uhuru Kenyatta kuacha kumbukumbu kupitia Ajenda Nne Kuu itabakia kuwa ndoto kutokana na jinsi utekelezaji wake...
- by adminleo
- May 11th, 2018
Ajenda Nne Kuu: Kijana airai serikali imkubalie azindue kiwanda cha mvinyo wa miraa
Na FAUSTINE NGILA MARUFUKU ya Uingereza na Somaliland dhidi ya miraa kutoka Kenya iliwaacha wakulima wengi katika kaunti ya Meru katika...