Tag: akilimali
- by adminleo
- March 22nd, 2020
AKILIMALI: Anatumia mkojo wa sungura kuimarisha kilimo cha nyanya mwitu
Na JOHN NJOROGE [email protected] Joseph Maina Kanai hawezi kuwa na majuto alipojiondoa kwa ukulima wa mahindi miaka minne...
- by adminleo
- March 19th, 2020
AKILIMALI: Kwake pato la maboga haya lazidi faida ya mboga na matunda
Na PETER CHANGTOEK BAADA ya kuhitimu masomo yake ya shahada katika chuo kikuu, Josephat Kiptoo alijitosa katika ukuzaji wa mimea ya...
- by adminleo
- March 19th, 2020
AKILIMALI: Kijana anayevuna noti nzito ya zao la karakara
Na SAMMY WAWERU UASIN Gishu ni miongoni mwa kaunti tajika katika uzalishaji wa nafaka eneo la North Rift. Ni kapu la mazao kama vile...
- by adminleo
- March 5th, 2020
AKILIMALI: Aliacha mihadarati, sasa mfugaji mbuzi
Na PETER CHANGTOEK UMBALI wa kilomita takribani 15, kutoka mjini Chuka, ndipo kilipo kitongoji cha Kathatwa, ambapo kuna shamba ambalo...
- by adminleo
- February 25th, 2020
AKILIMALI: Ifahamu mikate ya ng’ombe kutoka Kalro
NA RICHARD MAOSI KILOMITA 16 hivi kutoka mjini Nakuru tunawasili katika makazi ya Miriam Wangare, mkazi wa Wanyororo B, eneo la Lanet...
- by adminleo
- February 25th, 2020
AKILIMALI: Kukuza nyanya kwa mvungulio kuna faida tele
NA RICHARD MAOSI Kwa umbali tunaliona jumba la mvungulio katika majengo ya shule ya wavulana ya Jomo Kenyatta inayopatikana katika eneo...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Biashara ya mizinga ilivyomwinua kiuchumi
NA RICHARD MAOSI Mchango wa kufuga nyuki ni mkubwa katika azma ya wakulima wadogo kujiongezea kipato, ikiaminika kuwa hakuna kiumbe...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Maembe ya kisasa yanavyostawisha uchumi wa Makueni
NA RICHARD MAOSI [email protected] Upanzi wa maembe ni utajiri mkubwa kwa wakulima mashinani, hususan wajasiriamali...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Jinsi unyunyiziaji maji utaisaidia Kenya mwongo ujao
NA RICHARD MAOSI Maeneo kame nchini yanaweza kugeuzwa kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula cha kutosha hasa mahindi na mboga, Kenya...
- by adminleo
- February 13th, 2020
AKILIMALI: Mradi unaosaidia shule kukimu mahitaji msingi
Na RICHARD MAOSI TUNAKUMBANA na hema la kivungulio (greenhouse) tunapokaribishwa katika majengo ya shule ya wavulana ya Jomo Kenyatta...
- by adminleo
- February 6th, 2020
AKILIMALI: Matikitimaji yampa kipato eneo hatari kwa wizi wa mifugo
ONYANGO K’ONYANGO na ELMER MAGEKA ENEO la Bonde la Kerio halijajulikana kwa amani kwa miaka mingi kutokana na wizi wa mifugo na...
- by adminleo
- January 9th, 2020
BONGO LA BIASHARA: Mshonaji viatu vipya vya shule aliye na soko tayari
Na HASSAN POJJO KUKOSA kwenda katika shule ya upili baada ya kukamilisha elimu yake ya Darasa la Nane hakukumzuia kupiga hatua katika...