Tag: Ann Nderitu
ONYANGO: Vyama vya kikabila si kichocheo cha maendeleo
Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wameanza kucheza ngoma ya ukabila huku Uchaguzi Mkuu wa 2022 ukikaribia. Miito ya kuunda vyama vya...
MARY WANGARI: Ni makosa kulazimishia Wakenya vyama vya kisiasa
Na MARY WANGARI WIKENDI jana, maelfu ya Wakenya walipigwa na butwaa kubaini kwamba wengi wao walikuwa wamesajiliwa kisiri katika vyama...
Vyama vya kisiasa vitakavyohusika na fujo vitafutiliwa mbali – Msajili
Na CHARLES WASONGA MSAJILI wa Vyama vya Kisiasa Anne Nderitu ametisha kufutilia mbali usajili wa vyama vya kisiasa ambavyo shughuli zao...
JLAC yamuidhinisha Ann Nderitu awe msajili wa vyama vya kisiasa
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge kuhusu Haki na Masuala ya Sheria (JLAC) imeidhinisha uteuzi wa Ann Nderitu kuwa Msajili wa Vyama vya...
JAMVI: Mbinu chafu za vyama kuwasajili wanachama
Na LEONARD ONYANGO VYAMA vya kisiasa sasa vinatumia mbinu za kilaghai kusajili wanachama wapya, imebainika. Msajili wa Vyama vya...