• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Mzee atibua harusi akidai maharusi ni watoto wake

Na STEPHEN ODUOR WAPENZI wawili waliokuwa tayari kufunga ndoa katika eneobunge la Bura, Kaunti ya Tana River walilazimika kusitisha...

Waliofumaniwa harusini watengwa kwa lazima kwa gharama yao

Na MARY WANGARi Kioja kilizuka Jumaatatu baada ya maafisa wa polisi kuwafumania wanawake 39 harusini licha ya marufuku ya serikali dhidi...

Mshukiwa alipa dhamana na kuchomoka mbio akaoe

Na RICHARD MUNGUTI IFIKAPO Jumamosi Agosti 3 kengele za harusi zitalia ambapo mmoja wa washukiwa 12 wanaoshtakiwa pamoja na Gavana wa...

Harusi ya mwaka

Na GEORGE MUNENE na WANDERI KAMAU HATIMAYE Gavana Anne Waiguru wa Kirinyaga, alifanya harusi ya kukata na shoka na wakili Kamotho...

Wilfred Ndidi afunga pingu za maisha

MASHIRIKA na GEOFFREY ANENE KIUNGO wa Super Eagles ya Nigeria na klabu ya Leicester City, Wilfred Ndidi sasa ameasi ukapera. Kwa mujibu...

Maafisa watofautiana kuhusu kafyu ya arusi

Na WACHIRA MWANGI MGAWANYIKO mkubwa umeibuka kati ya maafisa wakuu wa usalama eneo la Pwani kuhusiana na marufuku ya harusi za...