Tag: as roma
- by T L
- March 12th, 2022
NYOTA WA WIKI: Tammy Abraham
Na GEOFFREY ANENE KEVIN Oghenetega Tamaraebi Bakumo Abraham maarufu kama Tammy Abraham anapeperusha bendera ya Uingereza vilivyo nje ya...
- by T L
- December 14th, 2021
Smalling aongoza AS Roma kutandika Spezia katika Serie A
Na MASHIRIKA KOCHA Jose Mourinho aliongoza waajiri wake AS Roma kupepeta Spezia 2-0 katika Ligi Kuu ya Italia (Serie A) mnamo Jumatatu...
- by T L
- November 29th, 2021
AS Roma ya kocha Jose Mourinho yashinda mechi tatu mfululizo katika Serie A
Na MASHIRIKA FOWADI Tammy Abraham, 24, alifunga bao la ushindi na kuwezesha AS Roma kucharaza Torino 1-0 katika mchuano wa Ligi Kuu ya...
- by T L
- October 22nd, 2021
Mourinho apokezwa kichapo kinono zaidi katika historia yake ya ukufunzi
Na MASHIRIKA AS Roma ya kocha Jose Mourinho ilipepetwa 6-1 na Bodo/Glimt ya Norway katika mechi ya Europa Conference League mnamo...
AS Roma ya kocha Jose Mourinho yapepeta Udinese na kuingia nne-bora Serie A
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha AS Roma sasa kinashikilia nafasi ya nne kwenye msimamo wa jedwali la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) baada ya...
Roma, Villarreal na Ajax waweka hai matumaini ya kufuzu kwa robo-fainali za Europa League msimu huu
Na MASHIRIKA TIMU za Ajax, AS Roma na Villarreal ni miongoni mwa vikosi vilivyojiweka pazuri zaidi kufuzu kwa robo-fainali za Europa...
- by adminleo
- June 27th, 2020
Pedro Rodriguez kuagana na Chelsea na kujiunga na AS Roma
Na CHRIS ADUNGO FOWADI Pedro Rodriguez wa Chelsea atajiunga rasmi na AS Roma ya Italia baada ya mkataba wake uwanjani Stamford Bridge...
- by adminleo
- April 20th, 2020
Wachezaji wa Roma wakubali kujinyima mshahara kwa miezi 4 kusaidia klabu
Na CHRIS ADUNGO AFISA mkuu mtendaji wa AS Roma, Guido Fienga, amewamiminia sifa wachezaji wake kwa utu wa kujinyima mishahara kwa...
- by adminleo
- August 13th, 2019
AS Roma waizima Real Madrid katika mchuano wa kirafiki
Na MASHIRIKA ROMA, ITALIA NYOTA Gareth Bale alitokea benchi katika kipindi cha pili na kuwafungia waajiri wake Real Madrid bao katika...