Tag: asali
- by adminleo
- April 18th, 2019
AKILIMALI: Licha ya ulemavu wake, yuko mstari wa mbele kufuga nyuki
NA PETER CHANGTOEK LICHA ya ulemavu alionao, amekuwa akishughulikia ufugaji wa nyuki kwa muda wa zaidi ya miaka 20. Bw Samwel Tangus,...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Mama arudi kwao akilia mume hachovyi asali
NA MIRRIAM MUTUNGA MUKONDE, MBOONI MAMA wa hapa aliwashangaza wakazi kwa kufunganya virago na kurudi kwa wazazi wake akidai kuwa...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
Ashangaza kumpa mke idhini kugawia makalameni asali
NA BENSON MATHEKA Kirigiti, Kiambu BUDA wa hapa aliwashangaza wakazi walipobaini kwamba alimwambia mkewe atafute mpango wa kando wa...
- by adminleo
- November 12th, 2018
Ndoa ya mwanavikapu aliyerambishwa asali ya wizi sasa inayumba
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA nyota wa NBA, Marcus Camby yuko katika hatari ya kusalia mpweke baada ya kushtakiwa kwa kosa la kumtelekeza...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Wachumba wamwagiwa kinyesi kwa kula uroda nje ya ndoa
Na MASHIRIKA LANGSA, INDONESIA WAPENZI wawili walimwagiwa kinyesi kwa kudaiwa kushiriki ngono nje ya ndoa zao katika eneo la Langsa,...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Alilamba vya pembeni, sasa hana ‘transfoma’ baada ya mke kuikata kwa makasi
Na MASHIRIKA FENGCHENG, UCHINA MWANAMUME anauguza majeraha mabaya baada ya mke wake kumkata uume wake. Inasemekana mwanamke huyo...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
SHANGAZI: Nimegawia wengi asali lakini sijawahi kuhisi utamu
Na SHANGAZI SIZARINA Shikamoo shangazi. Nina umri wa miaka 28 na nimekutana na wanaume kadhaa tangu nijue masuala ya mahaba. Ajabu ni kuwa...
- by adminleo
- June 13th, 2018
FUNGUKA: Sihitaji urembo kunyaka wahadhiri chuoni na kuwalambisha asali nipite mitihani
Na Pauline Ongaji Ni ndoto ya kila mwanafunzi wa chuo kikuu kufanya vyema katika mtihani wake na hata kuhitimu. Na ni ndoto ambayo...
- by adminleo
- June 6th, 2018
Apigwa kama mbwa koko baada ya kufumaniwa akichuna ngozi mke wa jirani
Na Tobbie Wekesa Butere, Mumias WENYEJI wa hapa walipata fursa ya kutazama sinema ya bure baada ya polo kupewa kichapo...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Buda akiri kanisani anakaranga yaya na mkewe kwa kikaango kimoja
Na SAMMY WAWERU MUNYU, THIKA KIOJA kilishuhudiwa katika kanisa moja mtaani hapa mzee aliyeokoka alipokiri kwamba alikuwa na uhusiano...
- by adminleo
- May 21st, 2018
Jamaa apiga demu teke kwa kudoea lishe huku akimkazia asali
Na JOHN MUSYOKI KITHYOKO, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa mtaani hapa kalameni mmoja alipomfurusha demu kutoka kwake akimlaumu kwa...
- by adminleo
- April 30th, 2018
King’asti aelezea alivyomhepa mumewe baa na kumlisha polo asali gesti
Na BENSON MATHEKA KAYOLE, NAIROBI MWANADADA mmoja mtaani hapa alishangaza marafiki zake alipowafichulia kwamba alimuacha mumewe...