• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Atletico Madrid wapiga Real Valladolid na kutia kapuni ufalme wa La Liga

Na MASHIRIKA ATLETICO Madrid waliwanyima Real Madrid fursa ya kuhifadhi ubingwa wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kutoka nyuma...

Atletico wapiga RB Salzburg na kusonga mbele UEFA

Na MASHIRIKA ATLETICO Madrid walifuzu kwa hatua ya mwondoano ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu baada ya kuwapokeza Red Bull...

Kinda ghali zaidi duniani atua Atletico

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania KINDA Joao Felix ndiye mwanasoka mwenye thamani kubwa zaidi wa umri mdogo duniani baada ya kusajiliwa...

NI KISASI: Atletico kwenye mizani ya Juventus huku City ikialika Shalke UEFA

TURIN, ITALIA JUVENTUS watakuwa leo Jumanne wenyeji wa Atletico Madrid katika mchuano wa mkondo wa pili wa mwondoano wa Klabu Bingwa Ulaya...