• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 PM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Australia kuvaana na Argentina katika hatua ya 16-bora baada ya kucharaza Denmark kwa 1-0 katika Kundi D

Na MASHIRIKA AUSTRALIA walifuzu kwa hatua ya 16-bora ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 16 baada ya kuduwaza...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mabingwa watetezi Ufaransa kuendea ushindi dhidi ya Australia katika Kundi D ili kuepuka mkosi wa mwaka 2002

Na MASHIRIKA LES Bleus wa Ufaransa watashuka uwanjani Al Janoub wakilenga kuzamisha chombo cha Australia katika Kundi D na kuweka hai...

Mooy ajiengua Brighton na kuhamia China kuchezea Shanghai SIPG

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO mahiri mzawa wa Australia, Aaron Mooy, 29, ameyoyomea nchini China kuchezea Shanghai SIPG baada ya kuagana rasmi...

‘Nilikuja Australia kutazama mbio za magari ya langalanga lakini corona ikanibana’

Na GEOFFREY ANENE AUSTRALIA imeshuhudia visa 6,013 vya maambukizi ya virusi vya corona. Kutoka orodha hiyo, 50 wameaga dunia kutokana na...

Seneta Mkenya ajipata kwa kashfa ya pesa Australia

Na VALENTINE OBARA SENETA wa Jimbo la Australia Kusini ambaye ni mzaliwa wa Kenya, Bi Lucy Gichuhi, amehusishwa na kashfa ya utumizi...

Hoteli inayowapa wateja ‘bunduki’ kukabiliana na ndege wasumbufu

VALENTINE OBARA Na MASHIRIKA PERTH, AUSTRALIA HUKU Serikali ya Kaunti ya Mombasa ikipanga kutumia Sh30 milioni kuangamiza kunguru...

GOLD COAST AUSTRALIA: Wanaotegemewa na Kenya mita 800 kwa wanawake

Na CHRIS ADUNGO WANARIADHA Margaret Nyairera Wambui, Eglay Nalyanya na Emily Cherotich Tuwei wanatazamiwa Alhamisi kufuzu kwa fainali za...

GOLD COAST AUSTRALIA: Kibarua kizito kumbwaga Nijel Amos mita 800

Na CHRIS ADUNGO KIBARUA kizito kitakachowasubiri Alhamisi alasiri Wakenya Jonathan Kitilit na Wycliffe Kinyamal nchini Australia ni...

Mkali wa kriketi motoni kwa kubadilisha hali ya mpira kwa manufaa yake

Na GEOFFREY ANENE MCHEZAJI wa kriketi wa Australia, Steve Smith amepigwa marufuku mechi moja na kupoteza Sh1, 435,408 baada ya kupigwa...