Tag: barakoa
- by adminleo
- July 22nd, 2020
Wanaoteremsha maski kwa kidevu washtakiwe, asema gavana
Na SAMMY WAWERU Ni jambo la kushangaza kuona mtu akiwa na maski na kuining’iniza chini ya kidevu badala ya kuivalia...
- by adminleo
- July 20th, 2020
AFYA: Barakoa chafu zinavyosambaza corona vijijini
Na LEONARD ONYANGO VIDEO ya mwanaume aliyeonekana akisafisha barakoa zilizotumika iliwatia hofu Wakenya ilipochipuza katika mitandao ya...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Wazee wavalie barakoa aina ya N95, WHO yashauri
CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU SHIRIKA la Afya Ulimwenguni (WHO) limependekeza kuwa wazee wenye umri wa miaka 60 kwenda juu na watu...
- by adminleo
- June 9th, 2020
SHINA LA UHAI: Corona si hatari tu kwa afya bali pia mazingira
Na LEONARD ONYANGO VIDEO ya mwanaume aliyeonekana akisafisha barakoa/maski zilizotumika iliwatia hofu Wakenya ilipochipuza katika...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Walimu wakuu wawapa wanafunzi barakoa
NA WAWERU WAIRIMU Walimu wakuu wa shule za upili katika Kaunti ya Isiolo wameanza kuwasambazia barakoa wanafunzi nyumbani kufuatia...
- by adminleo
- May 22nd, 2020
Wasio na uwezo kusikia kutumia maski spesheli kusoma midomo ya wazungumzaji
Na MISHI GONGO WALEMAVU wasio na uwezo wa kusikia katika Kaunti ya Mombasa wamepokea maski spesheli kutoka kwa Muungano wa Watu...
- by adminleo
- May 21st, 2020
Wanafunzi wa vyuo vya ufundi Garissa waanzisha mradi wa utengenezaji barakoa
Na FARHIYA HUSSEIN WANAFUNZI katika vyuo vya ufundi Kaunti ya Garissa wameanzisha mpango wa utengenezaji barakoa kusaidia katika...
- by adminleo
- May 18th, 2020
Polisi wampiga risasi babake seneta wa Lamu kwa kutovaa barakoa
JUMA NAMLOLA na KALUME KAZUNGU POLISI katika Kaunti ya Laikipia wanalaumiwa kwa kumpiga risasi babake Seneta wa Kaunti ya Lamu, Anwar...
- by adminleo
- May 12th, 2020
Vyuo vya kiufundi Kiambu kuendelea kushona barakoa
Na LAWRENCE ONGARO VYUO vya kiufundi katika Kaunti ya Kiambu vitaendelea kushona barakoa kwa wingi ili kutosheleza mahitaji ya...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Wasiovalia barakoa wamulikwa na maafisa baadhi ya maeneo Nairobi
Na SAMMY WAWERU MAAFISA wa polisi katika baadhi ya mitaa Nairobi walionekana 'kuwamulika' wakazi walioonekana bila barakoa. Kisa cha...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Kizimbani kwa kuiba maski za Sh950,000
Na Richard Munguti Wafanyabiashara wawili walishtakiwa Ijumaa kwa kumlaghai mfanyabiashara maski zipatao 252 zenye thamani ya...
- by adminleo
- April 24th, 2020
Wizara ya Afya yafundisha Wakenya jinsi ya kuvalia barakoa
Na GEOFFREY ANENE WIZARA ya Afya imeonekana kugundua Wakenya wengi hawajui kuvalia barakoa baada ya kuanza kuwahamasisha jinsi ya...