• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 5:39 PM

Barcelona katika hatari ya kuwa ‘AC Milan au Manchester United nyingine’

Na CHRIS ADUNGO VICTOR Font amesema Barcelona wako katika hatari ya kuandamwa na mikosi iliyowahi kuwapata AC Milan na Manchester United...

Ni kufa kupona Barcelona wakialika Atletico Madrid

Na CHRIS ADUNGO ITAKUWA ni kufa-kupona kwa Barcelona leo Jumanne usiku watakaposhuka ugani Camp Nou kupepetana na Atletico Madrid katika...

Celta Vigo wadidimiza matumaini ya Barcelona kuhifadhi ubingwa wa La Liga msimu huu

Na CHRIS ADUNGO BAO la dakika za mwisho kutoka kwa mvamizi matata mzawa wa Uhispania, Iago Aspas, 32, liliwawezesha Celta Vigo...

Barca kukutana na Mallorca Juni 13

Na CHRIS ADUNGO BARCELONA watarejelea kampeni za kutetea ufalme wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu dhidi ya Real...

Hali tete Barcelona wanasoka saba wakiomba kubanduka Nou Camp

Na CHRIS ADUNGO MWEZI mmoja baada ya wanachama sita wa Bodi ya Usimamizi ya Barcelona kujiuzulu, hali inaendelea kuwa mbaya zaidi...

Barcelona wapunguza bei ya Umtiti kwa zaidi ya asilimia 50 kuwavutia Arsenal

Na CHRIS ADUNGO BARCELONA wamepunguza bei ya difenda wao Samuel Umtiti, 26, kwa asilimia kubwa kutoka Sh6.3 bilioni hadi Sh3.7 bilioni...

Guardiola hataki Messi atoke Barcelona

Na CHRIS ADUNGO KOCHA Pep Guardiola amefutilia mbali tetesi zinazomhusisha nyota Lionel Messi na uwezekano wa kubanduka Barcelona na...

Barcelona kileleni La Liga baada ya kuipiga Atletico

Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA LIONEL Messi alifunga bao la dakika za mwisho na kuwasaidia Barcelona kusajili ushindi wa 1-0 dhidi ya...

MOTO BALAA: Griezmann afunga mawili katika ushindi wa Barcelona dhidi ya Real Betis

Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA ANTOINE Griezmann alifungua rasmi akaunti yake ya mabao kambini mwa Barcelona kwa kupachika wavuni...

GUMZO LA SPOTI: Barcelona waizima Arsenal kwenye kipute cha Gamper

Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA BAO la dakika ya mwisho ya mchezo kutoka kwa mvamizi Luis Suarez liliwavunia Barcelona ushindi wa...

BONGE LA SKENDO: Usajili wa Antoine Griezmann ni balaa tupu

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania UTATA unaozingira uhamisho wa mshambuliaji matata Antoine Griezmann kutoka Atletico Madrid hadi...

Griezmann kung’aa Barcelona kwa nambari 17 mgongoni

NA CECIL ODONGO FOWADI wa Ufaransa Antoine Griezmann atavaa jezi nambari 17 baada ya kujiunga na vigogo wa soka ya Uhispania Barcelona...