• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Vaeni nguo zenye joto mwilini – Serikali

CHARLES WASONGA Na SAMMY WAWERU Watu wameshauriwa kuhakikisha wanavalia mavazi mazito msimu huu wa baridi ili kupunguza athari za virusi...

SHINA LA UHAI: Baridi ilivyo hatari kwa watoto

Na BENSON MATHEKA CHUNGA mtoto wako asiathiriwe na baridi kali iwapo unataka akue vyema. Wataalamu wa afya bora wanasema kuwa watoto...

Bomoabomoa zawaacha wakazi wa mtaa wa Pangani kwenye kijibaridi

Na COLLINS OMULO WAKAZI waliokodisha nyumba za makazi katika mtaa wa Pangani walilazimika kulala nje kwa kijibaridi kikali Jumatatu...

Wawika nje, baridi bungeni

Na NYAMBEGA GISESA WABUNGE 13 hawajatoa mchango wowote kwenye mijadala bungeni zaidi ya mwaka mmoja na nusu tangu waapishwe kuhudumu...

AFYA NA USAFI: Faida za kuoga kwa maji baridi

Na MARGARET MAINA na MASHIRIKA [email protected] WATU wengi hupenda kuogea maji moto, hii ni kutokana na kuogopa ya baridi...

Tahadhari ya baridi kali kote nchini yatolewa

Na COLLINS OMULO WAKENYA wametahadharishwa kujiandaa kwa baridi kali masaa ya asubuhi katika muda wa siku tatu zijazo huku kiwango cha...