• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:45 AM

Uamuzi wa mahakama wavuruga urithi wa Uhuru 2022

Na WANDERI KAMAU UAMUZI wa Mahakama Kuu kufutilia mbali Mpango wa Maridhiano (BBI) umevuruga handisheki na mikakati ya Rais...

BBI: Majaji watano walivyozima midundo ya Reggae

Na SAMMY WAWERU MAHAKAMA Kuu  Alhamisi jioni ilizima mchakato wa Ripoti ya Mpango wa Maridhiano (BBI) ikiutaja kuwa haramu, batili na...

BBI: Reggae yazimwa kwa mara ya tatu

NA BENSON MATHEKA Kwa mara ya tatu juhudi za kubadilisha Katiba ya Kenya ya 2010 zimegongwa mwamba Mahakama Kuu ilipozima mchakato wa...

BBI: Kibarua kwa wabunge kushawishi wafuasi

Na GEORGE ODIWUOR VIONGOZI kutoka eneo la Nyanza wanaounga mswada wa mabadiliko ya Katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI)...

JAMVI: Bunge linavyotishia kuongeza masaibu ya mswada wa BBI

Na LEONARD ONYANGO MASAIBU yanayokumba Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) huenda yakaongezeka iwapo wabunge na maseneta wataafikiana...

KINYUA BIN KING’ORI: Twataka majibu kuhusu aliyebadilisha mswada wa BBI

Na KINYUA BIN KING'ORI Baada ya madai kuibuka kwamba huenda kitumbua cha mchakato wa Mpango wa Maridhiano (BBI) kikaingia mchanga kwa...

Muturi na Lusaka wapokea ripoti kuhusu Mswada wa BBI

Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi na mwenzake wa Seneti Kenneth Lusaka Jumatano walipokea ripoti kuhusu mswada...

BBI mikononi mwa wabunge

Na BENSON MATHEKA MSWADA wa kubadilisha katiba kupitia Mpango wa Maridhiano (BBI), sasa uko katika mikono ya maseneta na wabunge baada...

Utata wazuka kuhusu BBI kaunti 34 zikipitisha mswada feki

Na WAANDISHI WETU MCHAKATO wa BBI umo kwenye hatari ya kusambaratika baada ya kuibuka kuwa mabunge 34 ya kaunti yalipitisha mswada...

Bunge kujadili BBI kwenye kikao maalum

Na SAMWEL OWINO BUNGE la Taifa linatazamiwa kuwa na kikao maalum kwa siku tatu kujadili ripoti ya Mpango wa Maridhiano (BBI) kutoka kwa...

BBI YAINGIA ICU

NA MWANGI MUIRURI MCHAKATO wa Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM Raila Odinga kubadilisha Katiba kupitia BBI umo kwenye hatari ya...

‘One Kenya Alliance haitegemei kumuondoa Raila kwa hesabu ya BBI’

Na SAMMY WAWERU MUUNGANO mpya wa One Kenya Alliance haulengi kumuondoa yeyote katika mahesabu ya Ripoti ya Mpango wa Maridhiano (BBI),...