• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Ninafurahia BBI imesambaratika, tuliomba Mungu sana – Reuben Kigame

Na MWANGI MUIRURI Mwinjilisti na mwimbaji wa nyimbo za kumtukuza Mungu, Bw Reuben Kigame sasa amejitokeza kusherehekea utata unaokumba...

Pigo kwa BBI corona ikiyumbisha refarenda

Na BENSON MATHEKA TABIA ya wanasiasa ya kupuuza kanuni za kuzuia msambao wa virusi vya corona wakipigia debe mswada wa kubadilisha...

LEONARD ONYANGO: Handisheki itakufa baada ya refarenda

Na LEONARD ONYANGO MVUTANO uliopo baina ya chama cha ODM na baadhi ya maafisa serikalini kuhusu Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI), ni...

Ndoa ya BBI yaingia doa

Na WAANDISHI WETU MVUTANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM Raila Odinga ulizidi kuchacha Jumatatu, hali iliyolazimisha...

KINYUA BIN KING’ORI: Raia wasipotoshwe na siasa za BBI, wazingatie manufaa

 Na KINYUA BIN KING'ORI N I wazi kwamba Mswada wa Marekebisho ya Katiba (BBI) unaoongozwa na Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM...

Raila asihi Wapwani wapitishe BBI

Na SIAGO CECE KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga amekamilisha ziara yake Pwani kwa kuwarai wakazi waunge mkono mswada wa BBI, siku ya kura...

‘Tuliangusha BBI kuadhibu gavana’

EVANS KIPKURA na BARNABAS BII MADIWANI wa Kaunti ya Elgeyo Marakwet walikataa kuidhinisha mswada wa kubadilisha katiba wa Mpango wa...

Kiunjuri abadilisha wimbo, sasa asakata Reggae ya BBI

Na JAMES MURIMI ALIYEKUWA waziri wa Kilimo Mwangi Kiunjuri, amebadili msimamo wake kuhusu Mpango wa Maridhiano (BBI) na kuwataka Wakenya...

BBI kuwasilishwa bungeni kesho

Na CHARLES WASONGA MSWADA wa marekebisho ya Katiba kupitia mapendekezo ya jopo ya maridhiano (BBI) utawasilishwa rasmi katika Bunge la...

Raila atua Pwani kufunza wakazi kusakata Reggae

Na LUCY MKANYIKA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Raila Odinga leo amepangiwa kuanza rasmi ziara yake eneo la Pwani kupigia debe mswada wa...

LEONARD ONYANGO: BBI ikipita mshahara wa wabunge ukatwe

  Na LEONARD ONYANGO WATAALAMU wa masuala ya uchumi wanatabiri kuwa Wakenya watalazimika kutumia kati ya Sh60 milioni na Sh300...

Thirdway lawamani kuhusu kesi inayopinga BBI

IBRAHIM ORUKO na WALTER MENYA MAWAKILI wa Chama cha Thirdway Alliance, wamelaumiwa kwa kukataa kuondoa kesi inayopinga marekebisho ya...