• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 4:36 PM

Siaya kaunti ya kwanza kupitisha BBI

RUSHDIE OUDIA na CHARLES WASONGA BUNGE la Kaunti ya Siaya ndilo la kwanza kupitishwa mswada wa marekebisho ya katiba kupitia mpango wa...

Wanaopinga BBI ni wanafiki – Raila

Na SAMMY WAWERU Kiongozi wa chama cha ODM Bw Raila Odinga amewakosoa wanaopinga mabadiliko ya Katiba, akiwataja kama...

Uhuru sasa awategemea Raila, Kalonzo na Mudavadi kuvumisha BBI mlimani

Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta amezindua mkakati mpya wa kisiasa kuwafikia wenyeji wa Mlima Kenya, kwa kuwatumia wandani wake...

Uhuru na Raila mbioni kuokoa BBI ngome zao

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga, wako mbioni kuokoa mchakato wa marekebisho ya Katiba wa BBI...

Madiwani zaidi ya 50 Murang’a waelezea kuunga BBI

Na LAWRENCE ONGARO MADIWANI - MCAs - wapatao 50 kutoka Kaunti ya Murang'a wamesema kwa kauli moja kuwa mswada wa BBI ukiletwa katika...

Raila atarajiwa Githurai kupigia debe BBI

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga anatarajiwa kuingia Githurai wakati wowote kuanzia sasa leo Jumatano kupigia...

BBI: Mpira sasa waelekezwa kwa mabunge ya kaunti

Na BENSON MATHEKA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imeidhinisha kielelezo cha mswada wa kubadilisha katiba kupitia mchakato wa...

Mikakati ya UhuRaila kutuliza mlima

Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga, sasa wameanza juhudi mpya kutuliza joto la kisiasa katika ukanda...

BBI: SAINI ZA UHURU, RAILA ZATUPWA

Na LEONARD ONYANGO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Alhamisi ilipata wakati mgumu kueleza kwa nini saini za Rais Uhuru Kenyatta...

Ruto na Raila wazidi kuraruana kuhusu utawala wa Jubilee

Na WAANDISHI WETU NAIBU Rais William Ruto, jana alimkosoa Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga kwa matamshi yake kwamba serikali ya Jubilee...

IEBC haina nia ya kuhujumu BBI – Chebukati

Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati amekana madai ya Mbunge wa Suna Mashariki Junet...

Sijali kupigwa kalamu, afoka Kang’ata

Na CHARLES WASONGA KIRANJA wa Wengi katika Seneti Irungu Kang’ata amesema kuwa yuko tayari kupokonywa wadhifa wake katika bunge hilo...