Tag: bei
Duka la Nakumatt linavyohudumia wateja kisiri Nairobi
NA BRIAN WASUNA Wakati msimamizi wa Nakumatt, Peter Opondo Kahi aliyauza matawi sita yaliyosalia kwa Naivas kwa Sh422 milioni, wengi...
- by adminleo
- June 5th, 2020
Nyanya na vitunguu ghali zaidi, viazi na karoti zashuka bei
NA CHARLES MWANIKI BEI ya vyakula imepanda kwa asilimia 10.6 katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, ikilinganishwa na asilimia 11.6...
- by adminleo
- May 21st, 2020
‘Huenda uhaba wa chakula muhimu ukaanza kushuhudiwa’
Na SAMMY WAWERU WIZARA ya Kilimo imeonya huenda upungufu wa chakula muhimu ukaanza kushuhudiwa hivi karibuni kufuatia mzozo wa maeneo ya...
- by adminleo
- May 14th, 2020
Afueni adimu kufuatia mafuta kushuka bei
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA wanatarajia sasa kupata afueni baada ya Mamlaka ya Kawi na Petroli (EPRA) kupunguza bei ya mafuta kwa kiwango...
- by adminleo
- January 18th, 2020
Uhaba wa nyanya waendelea kushuhudiwa bei ikipanda
Na SAMMY WAWERU UHABA wa nyanya umeshuhudiwa maeneo mbalimbali nchini kufuatia mvua inayoendelea kunyesha. Kiungo hicho cha mapishi...
- by adminleo
- November 14th, 2019
Bei za mafuta zapanda
Na CHARLES WASONGA BEI ya mafuta iko juu petroli ikipanda kwa Sh2.54 kila lita, dizeli ikipanda kwa Sh2.65 nayo mafuta taa yakipanda kwa...
- by adminleo
- July 19th, 2018
HAKUNA KUPUMUA: Gharama ya maisha kuzidi kupanda
Na BENSON MATHEKA GHARAMA ya maisha inatarajiwa kupanda zaidi kuanzia katika muda siku 10 zijazo kutokana na ushuru mpya wa bidhaa. Kodi...
- by adminleo
- June 14th, 2018
BAJETI YA KUNYONYA: Raia kuumia zaidi
CHARLES WASONGA na VALENTINE OBARA BEI ya unga, maziwa, mkate, mafuta taa na bidhaa nyingine za kimsingi itapanda Bunge likipitisha...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Ruto akerwa na bei ghali ya mashamba jijini Nairobi
Na VALENTINE OBARA Naibu Rais William Ruto amelalamikia bei ghali ya mashamba jijini Nairobi. Akizungumza Jumanne katika ukumbi wa...
- by adminleo
- May 29th, 2018
UMEME KWA WOTE: Bei ghali yazidi kulemaza mpango
Na VALENTINE OBARA BI ANNE Mueni ni mfanyabiashara anayemiliki hoteli katika eneo la Burani, Kaunti ya Kwale, ambaye ameamua kutegemea...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Mswada wa Ushuru kupandisha bei ya bidhaa muhimu
Na CHARLES WASONGA BEI ya unga wa ugali, mikate na mihogo inatarajiwa kupanda ikiwa mswada uliowasilishwa bungeni mwezi Aprili...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Ni udhalimu kuongeza bei ya mafuta taa, Wakenya walia
NA PETER MBURU WAKENYA wengi hawajafurahishwa na wazo la Tume ya Kudhibiti Kawi (ERC) nchini kutaka bei ya mafuta taa ipandishwe, na...