Tag: BI TAIFA
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 21, 2020
Waridi Felly, 19, ni mzaliwa wa kaunti ya Kakamega, wakati mwingi anapenda kujumuika na marafiki na kutazama filamu. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 20, 2020
Grace Githinji ni mwanafunzi katika taasisi moja mjini Nakuru, yeye ni mjuzi wa vipodozi na mapambo. Wakati mwingi anapenda kupiga picha na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 19, 2020
Spencer Atieno, 22, ni mzaliwa wa kaunti ya Siaya, yeye ni mwanafunzi katika Chuo kimoja jijini Nairobi. Wakati mwingi anapenda kupika na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 18, 2020
Alice Wanjiru, 20, ni mwanafunzi wa mapambo na fasheni kutoka taasisi moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri,kupika na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 17, 2020
Scolah Wanjiru ni mfanyibiashara kutoka kaunti ndogo ya Naivasha, muda wake mwingi anapenda kusafiri na kupiga picha. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 16, 2020
Jarim Joram, 20, ndiye anatupambia tovuti yetu leo, yeye ni mwanafunzi kwenye Chuo kimoja mjini Nakuru, anapenda kutazama filamu na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 15, 2020
Tracy Mugo, 24, ni mfanyibiashara na mwanamitindo kutoka kaunti ya Nakuru. Akipata muda anapenda kusafiri, kuogelea na kujumuika na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 14, 2020
Stephanie Wamboi ni mzaliwa wa Limuru, yeye ni mwanamitindo chipukizi ambaye mara nyingi hushughulika na ubunifu wa mitindo ya kisasa....
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 13, 2020
Margret Wamaitha , 25, ni mwalimu katika shule moja eneo la Maai Mahiu. Anapenda kupiga picha na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 12, 2020
Grace ni mwalimu wa kiingereza katika shule moja eneo la Maai Mahiu, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nakuru. Anapenda kujumuika na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 11, 2020
Stephanie Wairimu, 24, ni mkazi wa Limuru, yeye ni mwanamitindo na mwanamuziki Chipukizi. Anapenda kutazama filamu za Soap...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 10, 2020
Matilda Mutinda ni mzaliwa wa kaunti ya Machakos, yeye ni mwanafunzi katika taasisi moja katika Bonde la ufa. Uraibu wake ni kusafiri na...