Tag: BI TAIFA
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 09, 2020
Karen Njoki ni mzaliwa wa Karatina. Akiwa amehitimu miaka 21 anasoma katika Rift Valley Institute of Science and Technology. Mara nyingi...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 08, 2020
Evelyne Karuguru amehitimu miaka 21, yeye ni mwanafunzi wa utabibu katika taasisi moja mjini Nakuru. Anapenda kusafiri na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 07, 2020
Sharon Nyamweya ni mkazi wa jiji la Nairobi. Yeye ni mwigizaji na mwanamitindo, anapenda kutazama filamu za kizazi kipya. Picha/Richard...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 06, 2020
Sheila Gitiha 21 ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Kabarak Bewa kuu. Yeye ni mwanafasheni, mara nyingi anapenda kusafiri, kusoma na...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 05, 2020
Naomi Nyamweya, 23, ndiye anatupambia ukurasa wetu leo, yeye ni mkaazi wa mtaa wa Kaptembwo Nakuru, anapenda kusikiliza muziki wa kizazi...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 04, 2020
Randy Finike, 22, ni mwanamitindo na mtaalamu wa miondoko kutoka Nakuru, amewahi kuibuka bora katika mashindano ya Miss Nakuru. Anapenda...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 03, 2020
Everlyn Njeri, 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara kaunti ya Narok.Uraibu wake ni kusakata densi na kuogelea. Picha/Richard...
- by adminleo
- April 26th, 2020
BI TAIFA MACHI 02, 2020
Bi Mary Wambui, 24, mzaliwa na mwanamitindo wa Elburgon katika Kaunti ya Nakuru anapenda kusafiri, kuogeleana kukutana na marafiki....
- by adminleo
- April 8th, 2020
BI TAIFA MACHI 1, 2020
Everlyn Kisilu, 27, ndiye anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mwanafasheni jijini Nairobi. Anapenda kusafiri, kuimba na kutazama...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 13, 2019
Abigael Annie ni mkazi wa kaunti ndogo ya Naivasha. Yeye ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Uraibu wake ni kuchora na...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 12, 2019
Tracy Waridi ndiye mrembo wetu. Yeye ni mwanafunzi kutoka taasisi ya ICS mjini Nakuru, anapenda kuchora na kupika. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 11, 2019
Hessi Jerop ni mwigizaji wa filamu kutoka Nakuru Arts Theatre. Uraibu wake ni kusakata densi na kujumuika na marafiki. Picha/Richard...