Tag: bodaboda
- by T L
- March 22nd, 2022
Bodaboda walia polisi jijini bado wanawadhulumu
NA JOSEPH NDUNDA MSAKO unaoendelea kuwaondoa wahudumu wa bodaboda katikati ya jiji la Nairobi unasemekana kugeuzwa kuwa kitega uchumi...
- by T L
- March 13th, 2022
Bodaboda sasa wapumua msako ukisimamishwa
JURGEN NAMBEKA na WINNIE ATIENO WAENDESHAJI wa bodaboda wamepata afueni baada ya polisi kusitisha msako uliotangazwa na Rais Uhuru...
- by T L
- March 11th, 2022
Msako: Polisi waonja uhuni wa bodaboda
MARY WANGARI, BRIAN OJAMAA, WANGU KANURI TABIA ya uhuni na kujichukulia sheria mikononi imezidi kujitokeza wazi miongoni mwa waendeshaji...
- by T L
- March 11th, 2022
Wanaoshukiwa kuvamia mwanamke kukaa kizuizini siku 15
NA RICHARD MUNGUTI WAHUDUMU 16 wa bodaboda waliofikishwa kortini kwa madai ya kumnyang’anya kimabavu afisa wa Ubalozi wa Zimbabwe simu...
- by T L
- March 10th, 2022
Serikali yatangaza mikakati ya kuboresha sekta ya bodaboda
Na WANGU KANURI WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i amewaeleza waendeshaji bodaboda wachukue leseni mpya kuanzia Machi...
- by T L
- March 10th, 2022
Sekta kuu ya bodaboda ilivyotekwa na wahalifu
MARY WANGARI NA STEPHEN OKETCH TUKIO la hivi majuzi ambapo wanamke mmoja alishambuliwa na kudhulumiwa kingono na waendeshaji bodaboda...
- by T L
- March 8th, 2022
Bodaboda walimwa faini ya Sh7 milioni
NA RICHARD MUNGUTI SERIKALI Jumanne imevuna Sh7 milioni kufuatia kushtakiwa kwa wahudumu wa bodaboda wapatao 200 walioshtakiwa kwa...
- by T L
- November 13th, 2021
Boda waonywa dhidi ya kuhusika katika ghasia 2022
NA KNA Polisi katika Kaunti ya Mombasa wameonya wahudumu wa bodaboda dhidi ya kujihusisha na ghasia wakati wa kampeni za...
Bodaboda kutoka Kenya wafurika Uganda kwa mafuta
Brian Ojamaa na Titus Ominde WAENDESHAJI bodaboda na wahudumu wa matatu katika Kaunti ya Busia wamegeukia kununua mafuta kwa bei nafuu...
TSC yapata ngao kuzuia walimu kujihusisha na ubodaboda
Na FAITH NYAMAI VISA vya walimu kuchelewa kufika shuleni wakijihusisha na shughuli zao za kibinafsi kama vile kuendesha bodaboda,...
Serikali kutumia vijana na wanabodaboda kuendesha kampeni ya amani kuelekea 2022
Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...
Visa vya wizi wa pikipiki za bodaboda vyaongezeka Witeithie
Na LAWRENCE ONGARO WIZI wa pikipiki za bodaboda, umezidi katika kijiji cha Witeithie kilichoko Juja, Kaunti ya Kiambu. Wahudumu wa...