• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:45 AM

Watekaji nyara wamnyaka mzee aliyewapelekea Sh7m

Na MASHIRIKA ABUJA, NIGERIA WATEKAJI nyara Jumapili walimkamata mtu ambaye alikuwa ametumwa kuwasilisha ngawira - malipo kwa mtekaji...

Jeshi lafunga shirika la misaada linalotuhumiwa kuwasiliana na magaidi

Na AFP JESHI la Nigeria, limefunga ofisi za shirika la kutoa msaada la Action Against Hunger (ACF), eneo la Kaskazini Mashariki mwa...

Idadi ya waliouawa kwenye shambulizi la Boko Haram mazishini yaongezeka

Na AFP na MARY WANGARI WATU 65 waliokuwa wakihudhuria mazishi walifariki mnamo Jumamosi, 27, kufuatia shambulizi la kigaidi...

Boko Haram waua 23, 15 waangamizwa Burkina Faso

NA MASHIRIKA WANAMGAMBO wa Boko Haram Jumamosi, walivamia waombolezaji katika jimbo la Borno lililoko Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na...

Boko Haram waua watu 19 Nigeria

MASHIRIKA Na PETER MBURU Wapiganaji wa Boko Haram, Nigeria usiku wa Jumapili waliripotiwa kuua watu 19 walipovamia kijiji kilichoko...

Yaibuka fedha za kukabili Boko Haram zinafujwa

Na AFP WANAHARAKATI nchini Nigeria Jumatatu waliishinikiza serikali ya taifa hilo kukoma kutoa mamilioni ya fedha kwa operesheni za...

Jeshi laokoa wanawake 54 na watoto 95 kutoka Boko Haram

Na AFP JESHI la Nigeria limesema kwamba limewaokoa wanawake na watoto 149 ambao walikuwa wametekwa nyara na kundi la Boko Haram,...

Nigeria yaanza kusaka wasichana 110 waliotekwa na Boko Haram

Na AFP ABUJA, Nigeria SERIKALI ya Nigeria imeanza harakati za kuwatafuta wasichana 110 wa shule moja, wanaoaminika kutekwa nyara na...