Tag: bongo la biashara
- by adminleo
- March 5th, 2020
BONGO LA BIASHARA: Anapata riziki kwa kupanda na kuuza miche mjini Kitale
Na CHRIS ADUNGO UPANZI wa miti ni hatua muhimu katika juhudi za kuhifadhi mazingira. Mbali na kudhibiti hali ya hewa, uhifadhi wa...
- by adminleo
- February 20th, 2020
BONGO LA BIASHARA: Achuma hela kibao kutokana na ustadi wake katika unyoaji jijini
Na CHARLES ONGADI MARA tu baada ya kifo cha ghafla cha mama mzazi mwaka wa 2005 George Franck Bruno, 26, alilazimika kukatiza masomo...
- by adminleo
- November 28th, 2019
BONGO LA BIASHARA: Mradi wa kukausha mboga wafaa wenyeji na wakimbizi
Na SAMMY LUTTA UKOSEFU wa miundomsingi bora kama vile barabara inayounganisha Kaunti ya Turkana na sehemu nyingine nchini Kenya pamoja...
- by adminleo
- June 6th, 2019
BONGO LA BIASHARA: Vyombo vya ufinyanzi vilivyo sumaku kwa watalii
Na FRANCIS MUREITHI TAKRIBANI kilomita 10 hivi kutoka mji wa Naivasha kuna karakana ambayo wakazi wengi wa mji huu hawana habari kuwa...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
BONGO LA BIASHARA: Mbinu za kushamiri katika uchuuzi wa vazi aina ya suti
Na STEPHEN DIK “BIASHARA haigombi” na “Riziki haivutwi kwa kamba” ni methali mbili ambazo zinalenga biashara. Unapoingia sokoni...
- by adminleo
- May 9th, 2019
BONGO LA BIASHARA: Alistaafu ualimu ila mipapai inampa ‘malipo’ kuliko ajira
Na BENSON MATHEKA na JOHN MUSYOKI ALIPOANZA kilimo cha mapapai akiwa mwalimu, watu wengi walidhani hangefaulu kwa sababu ya hali ya hewa...
- by adminleo
- April 18th, 2019
BONGO LA BIASHARA: Sh100 za chama kila wiki zajengea wanabodaboda nyumba
Na PHYLIS MUSASIA SH100 walizojikakamua kukusanya kila wiki kutoka kwa jasho la kuendesha bodaboda licha ya purukushani na askari wa...
- by adminleo
- March 14th, 2019
AKILIMALI: Ugumu wa kazi EPZ ulimpa wazo la biashara ya vinyago
Na CHARLES ONGADI na HASSAN POJJO AKILI ni nywele na kila mtu ana zake. Hii ndiyo kauli ya Bi Elizabeth Musyoki ambaye licha ya kutokuwa...
- by adminleo
- March 7th, 2019
BONGO LA BIASHARA: Aliacha mahindi na mboga akashika zao analouza Ulaya
Na PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA WAKAZI wa eneo la Kyumbi, Kaunti ya Machakos hukuza mboga aina ya sukumawiki, mahindi na maharagwe...