• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 4:28 PM

Walimu 200,000 wapewa mafunzo ya kutekeleza CBC

NA JOSEPH OPENDA WALIMU 200,000 wamepatiwa mafunzo kuhusu mtaala wa elimu wa Umilisi na Utendaji (CBC) katika maandalizi ya masomo ya...

JUMA NAMLOLA: CBC: Waingereza husema huwezi kuila keki yako na utarajie kuwa nayo

NA JUMA NAMLOLA UNAPOMTAJA Walter Elias, hakuna anayefahamu unayemzungumzia, bila kuongeza jina Disney. Mwamerika huyo aliyekuwa na...

CBC: Sossion awasilisha malalamiko ya wazazi bungeni

Na FAITH NYAMAI BAADHI ya wazazi wamewasilisha ombi katika Bunge la Kitaifa wakitaka kusitishwa kwa utekelezaji wa Mtaala wa Umilisi na...

CBC: Kuppet pia wana malalamishi

Na KENYA NEWS AGENCY CHAMA cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri (Kuppet) kimeitaka Wizara ya Elimu kuhusisha wadau wote katika...

Magoha aapa kutetea CBC kwa hali na mali

Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha ameendelea kuutetea mfumo mpya wa Elimu unaoegemea kwa umilisi (CBC), na kwamba...

CBC: Onyo wazazi wasifanyie watoto kazi za ziada

Na FAITH NYAMAI WAZAZI ambao watoto wao wanapata mafunzo chini ya mtaala mpya wa Umilisi na Utendaji (CBC) wametakiwa kukoma kuwasaidia...

Korti sasa kuamua hatima ya kesi kuhusu CBC

RICHARD MUNGUTI na GEORGE MUNENE MFUMO wa Elimu na Umilisi (CBC) umepata pigo baada ya mzazi kupitia Chama cha Mawakili nchini (LSK)...

CBC: Magoha apuuza malalamishi ya wazazi

Na WANDERI KAMAU WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, jana alipuuza vikali malalamishi ambayo yamekuwa yakitolewa na wazazi kuhusu...

CBC yalemea wazazi

Na WANDERI KAMAU GHARAMA ya elimu nchini imekuwa mzigo mkubwa kwa wazazi, wengi wakielezea hofu yao kwamba, huenda wakashindwa kulipa...

Mtihani wa gredi ya nne wakumbwa na matatizo maeneo mengi ya nchi

Na WAANDISHI WETU SHULE nyingi Jumatatu zililazimika kuahirisha mitihani ya kitaifa ya Gredi ya Nne kutokana matatizo...

MARY WANGARI: Juhudi za pamoja zinahitajika kufanikisha utekelezaji wa CBC

Na MARY WANGARI RAIS Uhuru Kenyatta hivi majuzi alizindua ripoti ya Jopokazi la Mtaala Mpya wa Elimu (CBC) katika hatua iliyoandaa...

LEONARD ONYANGO: CBC isiwabague watotowatokao familia maskini

Na LEONARD ONYANGO IDARA mpya iliyobuniwa na Rais Uhuru Kenyatta katika Wizara ya Elimu ili kusimamia utekelezaji wa mfumo mpya wa Elimu...