Tag: cbk
Serikali ‘yachapisha’ pesa mpya kufufua uchumi
NA FAUSTINE NGILA SERIKALI 'imechapisha' fedha mpya za Sh15 bilioni katika kipindi cha siku saba kufikia Septemba 25, kulingana na...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Huenda asilimia 75 ya kampuni zikafungwa Juni – CBK
NA FAUSTINE NGILA HALI ya uchumi nchini inazidi kudorora kutokana na makali ya janga la Covid-19, huku serikali ikionya huenda Wakenya...
- by adminleo
- April 14th, 2020
Corona itakavyoitatiza Kenya kulipa madeni
VALENTINE OBARA na BENSON MATHEKA MIKOPO tele iliyochukuliwa na serikali sasa imeitia nchi taabani kwani janga la corona linaendelea...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
Njoroge Gavana Bora wa benki katika mataifa ya Kusini mwa Jangwa la Sahara
Na CHARLES WASONGA na MAGDALENE WANJA GAVANA wa Benki Kuu ya Kenya (CBK) Patrick Njoroge ametawazwa kama Gavana Bora wa benki katika...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Sh1000: Tuwakumbushe mama na nyanya zetu mashambani kuhusu noti mpya – CBK
Na CHARLES WASONGA BENKI Kuu ya Kitaifa (CBK) imewataka Wakenya wawakumbushe mama na nyanya zao wanaoishi mashambani kuhusu kukaribia...
- by adminleo
- June 20th, 2019
CBK kushirikiana na benki za kigeni kunasa wafisadi
Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Benki Kuu ya Kenya (CBK) Patrick Njoroge Alhamisi amesema kuwa benki hiyo inashirikiana na benki kuu za...
- by adminleo
- June 19th, 2019
CBK yashikilia tafsiri sahihi ya ‘Bank’ ni ‘Banki’ kwenye noti mpya
Na CHARLES WASONGA MKUU wa kitengo cha mawasiliano katika Benki Kuu ya Kenya Wallace Kantai (pichani) Jumatano alizima mjadala kuhusu...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Njoroge kuendelea kuwa gavana wa Benki Kuu ya Kenya
Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta amemteua Gavana wa Benki Kuu ya Kenya, Dkt Patrick Njoroge, kuhudumu kwa kipindi kingine cha miaka...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Benki Kuu yadinda kupandisha kiwango cha riba
Na BERNARDINE MUTANU Wakenya wamepata afueni baada ya Benki Kuu ya Kenya (CBK) kukataa kupandisha kiwango cha mwisho cha riba kwa benki...
- by adminleo
- May 5th, 2019
CBK yaonya benki kuhusu wafanyakazi walaghai
Na BERNARDINE MUTANU Benki Kuu ya Kenya (CBK) imezitaka benki kuimarisha ukaguzi wa wafanyikazi wake na biashara za nje. Hii ni kutokana...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Kenya pazuri kupata mkopo mwingine wa Eurobond
Na BERNARDINE MUTANU AZMA ya serikali ya kuchukua mkopo wa Eurobond mwaka huu imepigwa jeki kutokana na mazingira ya mikopo...
- by adminleo
- August 21st, 2018
Benki zakaidi kupunguzia wateja riba ya mikopo
Na BERNARDINE MUTANU LICHA ya Benki Kuu ya Kenya kushusha kiwango cha riba, benki za humu nchini zimekataa kupunguza riba kwa wateja...