Tag: chapa dimba
- by adminleo
- June 24th, 2020
Fainali ya Chapa Dimba kukosa uhondo kisa corona
Na JOHN KIMWERE IDADI ya waathiriwa wa ugonjwa wa Covid-19 inazidi kuongezeka hapa nchini hali inayoendelea kuzima mpango wa...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Kocha wa Laiser Hill aapa kufunza wapinzani gozi Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE WAVULANA wa kikosi cha Laiser Hill Academy wamepania kutifua vumbi la kufa mtu kwenye fainali za kitaifa kufukuzia...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Ulinzi Youth inalenga makubwa Chapa Dimba
NA JOHN KIMWERE LISILOKUWAPO moyoni, pia machoni halipo. Ni msemo unaoashiria kwamba hakuna linaloweza kutimia bila ya kufanyiwa kazi....
- by adminleo
- March 24th, 2020
Isiolo Starlets walenga ubingwa fainali za Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wasichana ya Isiolo Starlets itakuwa miongoni mwa vikosi saba vitakavyoshiriki fainali za kitaifa kuwania taji...
- by adminleo
- March 22nd, 2020
Dagoretti Mixed yalenga ushindi fainali za Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wavulana ya Dagoretti Mixed inalenga kutifua vumbi kali katika fainali za kitaifa za Chapa Dimba na Safaricom,...
- by adminleo
- March 22nd, 2020
Beijing Riders kuwakilisha Nairobi kwa fainali ya Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE KWA mara ya pili timu ya wasichana ya Beijing Raiders itawakilisha Mkoa wa Nairobi kwenye fainali za kitaifa za...
- by adminleo
- March 10th, 2020
Wiyeta na Laiser Hill mabingwa wa Chapa Dimba Bonde la Ufa
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Wiyeta Girls kutoka Pokot Magharibi ilirejea kwa kishindo ambapo ilitawazwa malkia katika Mkoa wa Bonde la ufa,...
- by adminleo
- March 9th, 2020
Wiyeta Girls yazima Bomet Queens 17-0
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wavulana ya Kapenguria Heroes ilijiweka pazuri kushinda kwa mara ya pili taji la Chapa Dimba na Safaricom katika...
- by adminleo
- March 5th, 2020
Kapenguria Heroes wajiandalia Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE WALIOKUWA mabingwa wa Chapa Dimba na Safaricon Season One, kitengo cha wavulana Kapenguria Heroes katika Mkoa wa Rift...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Dagoretti Mixed na Beijing Raiders mabingwa wa Chapa Dimba Nairobi
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Dagoretti Mixed na Beijing Raiders zilitawazwa wafalme na malkia katika Mkoa Nairobi, kwenye mechi za Chapa...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Acakoro Ladies yanyeshea St Annes Eaglets 5-1
Na JOHN KIMWERE MCHANA nyavu, Catherine Omondi alicheka na wavu mara mbili na kusaidia Acakoro Ladies kushinda St Annes Eaglets mabao 5-1...
- by adminleo
- February 21st, 2020
Mabingwa wa Chapa Dimba jijini ni wikendi
JEFF KINYANJUI na JOHN ASHIHUNDU MABINGWA wa Chapa Dimba eneo la Nairobi watajulikana wikendi hii, timu nane zikipepetana katika shule...