Tag: chifu
Chifu asimamishwa kazi kwa kutafuna hongo ya Sh30,000
Na RICHARD MUNGUTI NAIBU wa chifu katika kata ya Highridge, Nairobi Jumatatu aliagizwa asimamishwe kazi mara moja baada ya kushtakiwa...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Kazi ya uchifu yaepukwa Lamu kutokana na mauaji
KALUME KAZUNGU na MISHI GONGO WAKAZI wa vijiji vya Kaunti ya Lamu ambavyo vimekuwa vikishuhudia mauaji ya mara kwa mara ya maafisa wa...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Chifu anayekabili uasherati, HIV kwa kutandika wazinifu mijeledi
Na BERNARD OJWANG KAUNTI ya Homa Bay imegonga vichwa vya habari mara nyingi kwa sababu zisizo njema kama vile kukithiri kwa maambuizi ya...
- by adminleo
- March 20th, 2019
NJAA: Chifu matatani kwa kufichua vifo
FLORAH KOECH, PETER MBURU Na FAITH NYAMAI CHIFU mmoja katika Kaunti ya Baringo amejipata matatani kwa kuwafichulia wanahabari kuwa...
- by adminleo
- December 27th, 2018
Mamangu alinipa kiamsha kinywa cha busaa kila siku, asimulia chifu
Na MAGDALENE WANJA WAKENYA wengi wanamkumbuka kama chifu aliyehudhuria mkutano wa rais akiwa mlevi chakari mnamo mwaka wa 2016. Naibu...
- by adminleo
- December 17th, 2018
Chifu auawa na kuchomwa mazishini kwenye ghasia
IRENE MWENDWA Na GEORGE SAYAGIE ?Chifu mmoja katika Kaunti ya Marsabit aliuawa Jumapili na kisha mwili wake kuchomwa akihudhuria mazishi...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Naibu chifu alinitandika bila sababu, asema ajuza
Na VIVIAN JEBET AJUZA wa miaka 68 anadai kushambuliwa na naibu wa chifu mjini Isiolo bila kufanya kosa, alipokuwa ameenda kumchukua...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Chifu wa Kilimani ashtakiwa kughushi cheti
Na RICHARD MUNGUTI CHIFU wa Kilimani, kaunti ya Nairobi alishtakiwa kwa kughushi cheti cha kumruhusu mwenye hoteli kuendeleza biashara...