Tag: coca-cola
Kampuni yashtakiwa kwa kuharibu mti wa Raila
Na GEORGE ODIWUOR WANAHARAKATI watatu katika Kaunti ya Homa Bay, wameishtaki kampuni ya kutengeneza vinywaji ya Coca-Cola, kwa dai la...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Makao makuu ya Coca-cola Kenya kuuzwa
Na BERNARDINE MUTANU Jumba la kibiashara linalomilikiwa na kampuni ya kutengeneza soda ya Coca-Cola sasa linauzwa. Jumba hilo la...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Mzozo Kebs ikizuia bidhaa za Coca-Cola bandarini
Na BERNARDINE MUTANU Mgogoro umeibuka kati ya kampuni ya Coca-Cola na Mamlaka ya Kukadiria Ubora wa Bidhaa (Kebs) kwa sababu ya bidhaa za...
- by adminleo
- September 18th, 2018
Coca-Cola kuanza kutengeneza soda yenye bangi
Na MASHIRIKA KAMPUNI ya kutengeneza vinywaji vya soda ya Coca-Cola imedokeza kuwa inawazia kuanza kutengeneza soda zilizo na...
- by adminleo
- May 21st, 2018
Kiwanda kipya cha Coca-cola kupunguza ukosefu wa ajira
Na BERNARDINE MUTANU KAMPUNI ya Coca-Cola imefungua kiwanda cha kutengeneza vinywaji kwa gharama ya Sh7 bilioni katika tawi lake...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Coca-Cola yatoa Sh42 milioni kushindaniwa na Wakenya wakisubiri Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya vinywaji ya Coca-Cola itawatuza watumiaji wa bidhaa zake milioni mbili, mwaka huu katika kipute cha...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Kuna chembechembe za plastiki kwa maji ya Dasani, Coca-Cola yakiri
Na ANNIE NJANJA KAMPUNI ya vinywaji ya Coca-Cola imekiri uwepo wa chembechembe za plastiki katika maji ya Dasani kutokana na uchunguzi...