Tag: Corona
- by adminleo
- July 21st, 2020
Serikali yawataka wazee kula chakula bora
Na SAMMY WAWERU Wazee wako katika hatari kuu kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 na wanapaswa kuwa waangalifu, imeonya Wizara ya...
- by adminleo
- July 21st, 2020
Vijana wachoma picha
VALENTINE OBARA na MARY WAMBUI MASAIBU yanayomkumba Seneta wa Nairobi, Bw Johnson Sakaja ambaye alikamatwa kwa kukiuka kanuni za...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Polo mtafuna yaya afumaniwa na mke wakati wa corona
KAPKATET, KERICHO NA NICHOLAS CHERUIYOT ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Gavana aonya wakazi wajihadhari na wasafiri
Na PHYLLIS MUSASIA GAVANA wa Nakuru, Bw Lee Kinyanjui ametahadharisha wakazi wa kaunti hiyo kuwa waangalifu wakati huu ambapo watu wengi...
- by adminleo
- July 20th, 2020
‘Wahudumu 526 wa afya wameambukizwa corona’
Na SAMMY WAWERU Wahudumu wa afya wapatao 526 ndio wameambukizwa Covid-19 kufikia sasa, imethibitisha Wizara ya Afya Jumatatu. Wizara...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Mikahawa sasa inauza pombe – Serikali
Na SAMMY WAWERU Serikali Jumatatu imefichua kuwa wamiliki wa mikahawa sasa wamebadilisha biashara na kuanza kuuza mvinyo bila...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Serikali yajiandaa kwa hatua mpya kukabili corona
Na DIANA MUTHEU SERIKALI imeanza kujiandaa kutoa kanuni mpya zitakazofuatwa kupambana na virusi vya corona ambavyo vinaendelea kusambaa...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Waumini wagomea ibada wakiogopa corona
Na BENSON MATHEKA WAUMINI wa makanisa mengi nchini walikosa kuhudhuria ibada makanisa yalipofunguliwa jana, huku idadi ya watu...
- by adminleo
- July 20th, 2020
AFYA: Barakoa chafu zinavyosambaza corona vijijini
Na LEONARD ONYANGO VIDEO ya mwanaume aliyeonekana akisafisha barakoa zilizotumika iliwatia hofu Wakenya ilipochipuza katika mitandao ya...
- by adminleo
- July 19th, 2020
Kaunti yaambiwa ianze kufunga vituo vya corona
Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imetakiwa kuhamisha vituo vyote vya wagonjwa wa Covid-19 vilivyo katika taasisi za elimu...
- by adminleo
- July 16th, 2020
Twapotoshwa kuhusu corona?
WANDERI KAMAU na ANGELA OKETCH HALI ya wasiwasi imeibuka nchini kuhusu ukweli wa vipimo vya virusi vya corona baada ya maabara mbili...
- by adminleo
- July 11th, 2020
Corona yaangusha shujaa
Na CHARLES WASONGA HALI ya majonzi imekumba sekta ya afya na wahudumu walio kwenye mstari wa mbele kupambana na virusi vya corona, baada...