• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 5:22 PM

Serikali yawataka wazee kula chakula bora

Na SAMMY WAWERU Wazee wako katika hatari kuu kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 na wanapaswa kuwa waangalifu, imeonya Wizara ya...

Vijana wachoma picha

VALENTINE OBARA na MARY WAMBUI MASAIBU yanayomkumba Seneta wa Nairobi, Bw Johnson Sakaja ambaye alikamatwa kwa kukiuka kanuni za...

Polo mtafuna yaya afumaniwa na mke wakati wa corona

KAPKATET, KERICHO NA NICHOLAS CHERUIYOT ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya...

Gavana aonya wakazi wajihadhari na wasafiri

Na PHYLLIS MUSASIA GAVANA wa Nakuru, Bw Lee Kinyanjui ametahadharisha wakazi wa kaunti hiyo kuwa waangalifu wakati huu ambapo watu wengi...

‘Wahudumu 526 wa afya wameambukizwa corona’

Na SAMMY WAWERU Wahudumu wa afya wapatao 526 ndio wameambukizwa Covid-19 kufikia sasa, imethibitisha Wizara ya Afya Jumatatu. Wizara...

Mikahawa sasa inauza pombe – Serikali

Na SAMMY WAWERU Serikali Jumatatu imefichua kuwa wamiliki wa mikahawa sasa wamebadilisha biashara  na kuanza kuuza mvinyo bila...

Serikali yajiandaa kwa hatua mpya kukabili corona

Na DIANA MUTHEU SERIKALI imeanza kujiandaa kutoa kanuni mpya zitakazofuatwa kupambana na virusi vya corona ambavyo vinaendelea kusambaa...

Waumini wagomea ibada wakiogopa corona

Na BENSON MATHEKA WAUMINI wa makanisa mengi nchini walikosa kuhudhuria ibada makanisa yalipofunguliwa jana, huku idadi ya watu...

AFYA: Barakoa chafu zinavyosambaza corona vijijini

Na LEONARD ONYANGO VIDEO ya mwanaume aliyeonekana akisafisha barakoa zilizotumika iliwatia hofu Wakenya ilipochipuza katika mitandao ya...

Kaunti yaambiwa ianze kufunga vituo vya corona

Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imetakiwa kuhamisha vituo vyote vya wagonjwa wa Covid-19 vilivyo katika taasisi za elimu...

Twapotoshwa kuhusu corona?

WANDERI KAMAU na ANGELA OKETCH HALI ya wasiwasi imeibuka nchini kuhusu ukweli wa vipimo vya virusi vya corona baada ya maabara mbili...

Corona yaangusha shujaa

Na CHARLES WASONGA HALI ya majonzi imekumba sekta ya afya na wahudumu walio kwenye mstari wa mbele kupambana na virusi vya corona, baada...