Tag: Corona
- by adminleo
- July 9th, 2020
WASONGA: Itakuwa kibarua sasa kwa kaunti kuzuia maambukizi zaidi
Na CHARLES WASONGA HATUA ya serikali ya kulegeza baadhi ya masharti ya kudhibiti kusambaa kwa virus vya corona sasa inatwika wajibu...
- by adminleo
- July 8th, 2020
Corona yakoroga masomo
NA WANDERI KAMAU WANAFUNZI wote wa shule za msingi na upili watalazimika kurudia madarasa mwaka ujao, baada ya serikali kufutilia mbali...
- by adminleo
- July 7th, 2020
Wasafiri wakwama vituoni baada ya uchumi kufunguliwa
Na WAANDISHI WETU MAMIA ya wasafiri waliotaka kuelekea katika kaunti ambazo zilifunguliwa jana baada ya kufungwa kwa miezi mitatu,...
- by adminleo
- July 7th, 2020
Changamoto kuzuia wazee katika ibada
Na BENSON MATHEKA UAMUZI wa serikali kwamba wazee wa zaidi ya umri wa miaka 58 wasikubaliwe kuingia katika maeneo ya ibada umeacha...
- by adminleo
- July 7th, 2020
COVID-19: Ni juu yenu sasa!
NA WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu alilegeza masharti ya kukabiliana na virusi vya corona, akisema ameacha jukumu la kuzuia...
- by adminleo
- July 7th, 2020
AFYA: Kitendawili kuhusu usahihi wa vipimo, ingawa sio Kenya pekee
Na LEONARD ONYANGO WIZARA ya Afya imekiri kuwa baadhi ya maabara zimekuwa zikitoa matokeo ya kupotosha kuhusu virusi vya corona humu...
- by adminleo
- July 6th, 2020
Waumini wasizidi 100 makanisani – Uhuru
Na SAMMY WAWERU Rais Uhuru Kenyatta Jumatatu ametangaza kwamba maeneo ya kuabudu, ndiyo makanisa na misikiti, yatafunguliwa kwa...
- by adminleo
- July 6th, 2020
Afueni baada ya kaunti zilizofungwa kufunguliwa
Na SAMMY WAWERU Shughuli za kuingia na kutoka kaunti ya Nairobi, Mombasa na Mandera zitarejelea hali ya kawaida mnamo Jumanne Julai,...
- by adminleo
- July 6th, 2020
CORONA: Wakenya waomba fursa wapumue
XINHUA Na MARY WANGARI WAKENYA wanasubiri kwa hamu kuu hotuba ya Rais Uhuru Kenyatta leo, wakitumaini atalegeza marufuku ya kukabiliana...
- by adminleo
- July 5th, 2020
WASONGA: Tuwe macho virusi vipya visipenyeze hapa Kenya tena
Na CHARLES WASONGA MAJUZI ripoti zilichipuza katika vyombo vya habari kwamba virusi vipya vimegunduliwa nchini China na vina uwezo wa...
- by adminleo
- July 5th, 2020
Athari za corona zitawaua Wakenya uchumi usipofunguliwa – Wataalamu
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta anapohutubia taifa leo, anaendelea kusukumwa afungue uchumi ili maskini waache kuteseka kutokana...
- by adminleo
- July 4th, 2020
CORONA: Hali si hali baadhi ya wakazi wa mijini wakihamia nyumba za kodi nafuu
Na SAMMY WAWERU HUKU watafiti wataalamu wa masuala ya matibabu, Wanasayansi na madaktari ulimwenguni wakipambana usiku na mchana...