Tag: Corona
- by adminleo
- July 1st, 2020
Visa vingine 307 vya corona vyaripotiwa
ANGELA OKETCH na FAUSTINE NGILA Kenya imerekodi visa vya maambukizi ya njuu zaidi katika saa 24 zilizopita huku watu 307 wakithibitishwa...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Uwanja ambapo ibada hufanyika wakati wa corona
Na SAMMY WAWERU Ni zaidi ya siku 100 tangu kisa cha kwanza cha maambukizi ya Covid - 19 kiripotiwe nchini Kenya, mnamo Machi 13,...
- by adminleo
- June 23rd, 2020
Kaunti ya Nakuru yalenga kuwa na vitanda 1,000
Na PHYLLIS MUSASIA Kaunti ya Nakuru inatarajia kuongeza idadi ya vitanda katika maeneo yaliotengwa hospitalini kwa ajili wa wagonjwa wa...
- by adminleo
- June 22nd, 2020
Sato Tap, ubunifu wa kisasa wa kunawa mikono
NA MWANDISHI WETU Sato, biashara ya kijamii ya Kikundi cha LIXIL kutoka Japan ambayo inakusudia kutatua shida za maji, usafi wa...
- by adminleo
- June 22nd, 2020
Hofu wakazi Mombasa wakipuuza sheria za kudhibiti corona
NA MISHI GONGO MAAFISA wa afya katika kaunti ya Mombasa wameeleza hali ya wasiwasi kufuatia wakazi kuendelea kukiuka masharti...
- by adminleo
- June 22nd, 2020
COVID-19 yazidi kuumiza wengi, utafiti waonyesha
Na BENSON MATHEKA IDADI ya Wakenya wanaoshindwa kupata chakula kutokana na athari za janga la corona imeongezeka hadi asilimia 87,...
- by adminleo
- June 20th, 2020
Corona yasababisha matatizo ya akili
Na BENSON MATHEKA IDADI ya watu wanaopata matatizo ya kisaikolojia kutokana na janga la corona imeongezeka na hii ni tisho kwa vita...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Hofu watu wengi zaidi huenda wakaangamia kwa corona Afrika Kusini
NA MASHIRIKA CAPE TOWN Nchi ya Afrika Kusini ilirekodi visa 2,801 kwa siku moja huku hofu ikizukwa kuwa kuna uwezekano wa watu wengi...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Serikali yaonya tiba ya corona isitumiwe ovyo
Na WANDERI KAMAU WANANCHI wameshauriwa dhidi ya kutumia dawa aina ya dexamethasone kutibu virusi vya corona bila idhini ya...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Rais wa Honduras na mkewe wapatikana na corona
NA AFP Rais wa Hounduras amesema kwamba yeye na mke wake wamepatikana na virusi vya corona. Nchi hiyo ya Amerika ya Latini ina visa...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Tiba ya corona yanukia
WANDERI KAMAU na MASHIRIKA WATAALAMU wa matibabu nchini Uingereza wametangaza kupata dawa ya bei nafuu ambayo inaweza kuua virusi vya...
- by adminleo
- June 16th, 2020
Korti yakataa ombi kufukua aliyekufa kwa corona
Na DICKENS WASONGA MAHAKAMA Kuu ya Siaya jana ilikataa ombi la familia iliyotaka mwili wa jamaa wao ufukuliwe wakisema alizikwa kama...