• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 5:22 PM

Visa vingine 307 vya corona vyaripotiwa

ANGELA OKETCH na FAUSTINE NGILA Kenya imerekodi visa vya maambukizi ya njuu zaidi katika saa 24 zilizopita huku watu 307 wakithibitishwa...

Uwanja ambapo ibada hufanyika wakati wa corona

Na SAMMY WAWERU Ni zaidi ya siku 100 tangu kisa cha kwanza cha maambukizi ya Covid - 19 kiripotiwe nchini Kenya, mnamo Machi 13,...

Kaunti ya Nakuru yalenga kuwa na vitanda 1,000

Na PHYLLIS MUSASIA Kaunti ya Nakuru inatarajia kuongeza idadi ya vitanda katika maeneo yaliotengwa hospitalini kwa ajili wa wagonjwa wa...

Sato Tap, ubunifu wa kisasa wa kunawa mikono

NA MWANDISHI WETU Sato, biashara ya kijamii ya Kikundi cha LIXIL kutoka Japan ambayo inakusudia kutatua shida za maji, usafi wa...

Hofu wakazi Mombasa wakipuuza sheria za kudhibiti corona

NA MISHI GONGO MAAFISA wa afya katika kaunti ya Mombasa wameeleza hali ya wasiwasi kufuatia wakazi kuendelea kukiuka masharti...

COVID-19 yazidi kuumiza wengi, utafiti waonyesha

Na BENSON MATHEKA IDADI ya Wakenya wanaoshindwa kupata chakula kutokana na athari za janga la corona imeongezeka hadi asilimia 87,...

Corona yasababisha matatizo ya akili

Na BENSON MATHEKA IDADI ya watu wanaopata matatizo ya kisaikolojia kutokana na janga la corona imeongezeka na hii ni tisho kwa vita...

Hofu watu wengi zaidi huenda wakaangamia kwa corona Afrika Kusini

NA MASHIRIKA CAPE TOWN Nchi ya Afrika Kusini ilirekodi visa 2,801 kwa siku moja huku hofu ikizukwa kuwa kuna uwezekano wa watu wengi...

Serikali yaonya tiba ya corona isitumiwe ovyo

Na WANDERI KAMAU WANANCHI wameshauriwa dhidi ya kutumia dawa aina ya dexamethasone kutibu virusi vya corona bila idhini ya...

Rais wa Honduras na mkewe wapatikana na corona

NA AFP Rais wa Hounduras amesema kwamba yeye na mke wake wamepatikana na virusi vya corona. Nchi hiyo ya Amerika ya Latini ina visa...

Tiba ya corona yanukia

WANDERI KAMAU na MASHIRIKA WATAALAMU wa matibabu nchini Uingereza wametangaza kupata dawa ya bei nafuu ambayo inaweza kuua virusi vya...

Korti yakataa ombi kufukua aliyekufa kwa corona

Na DICKENS WASONGA MAHAKAMA Kuu ya Siaya jana ilikataa ombi la familia iliyotaka mwili wa jamaa wao ufukuliwe wakisema alizikwa kama...