Tag: Corona
- by adminleo
- June 11th, 2020
Mikakati ya kutunzia wagonjwa wa corona nyumbani
Na SAMMY WAWERU Wizara ya Afya Jumatano ilizindua rasmi mikakati itakayotumika kuwatunza wagonjwa wa Covid - 19 nyumbani. Serikali...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Inasikitisha maafisa wa afya wanazidi kuambukizwa corona – Serikali
NA ANGELA OKETCH Kutoa vifaa vya kuwakinga madaktari wasiambukizwe virusi vya corona na kuwepo kwa wagonjwa wasioonyesha dalili zozote...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Afisa wa ODM apatikana na Covid-19
NA IBRAHIM ORUKO AFISA katika afisi za chama cha ODM amepatikana na virusi vya corona Jumanne, katibu mkuu wa chama hicho Edwin Sifuna...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Msiwakejeli waliopona corona – Serikali
NA BERNADINE MUTANU Wizara ya Afya imeonya Wakenya dhidi ya kuwakejeli wagonjwa wa corona waliopona virusi hivyo, hali inayowaletea...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Gavana Mutua apongeza hatua za kudhibiti corona
NA LILLIAN MUTAVI Gavana wa Machakos Alfred Mutua amepongeza kuongezwa kwa siku za kafyu na makataa ya kutotoka au kuingia Nairobi,...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Watu 167 wapatikana na corona
NA BERNADINE MUTANU Idadi ya wagojwa wa virusi vya corona imefikia 2,767 baada ya watu wengine 167 kuthibitishwa kuwa na virusi hivyo...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Kisa cha nne cha corona charipotiwa Homabay
NA GEORGE ODIWUOR Kaunti ya Homabay imerekodi kisa chake cha nne baada ya mwalimu wa miaka 24 kuthibitishwa kuwa na virusi hivyo...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Covid-19: Sababu za Rais kudinda kulegeza kamba
Na SAMMY WAWERU Katika hotuba ya Rais Uhuru Kenyatta mnamo Jumamosi na iliyotarajiwa na Wakenya ingekuwa yenye afueni masharti...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Kulegeza masharti kutasabisha vifo vingi – Uhuru
NA MWANDISHI WETU Wakenya mitandaoni wamezua hisia mseto baada ya Rais Kenyatta kudinda kuondoa marufuku ya kutoka na kuingia katika...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Shule kufunguliwa Septemba
Na SAMMY WAWERU Shule na taasisi zote za elimu nchini zitarejelea shughuli za masomo muhula wa tatu. Rais Uhuru Kenyatta Jumamosi...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Covid-19: Wakenya wamlilia Rais alegeze masharti
Na SAMY WAWERU Huku Rais Uhuru Kenyatta akitarajiwa kuhutubia taifa leo, Jumamosi, Wakenya wana matumaini makuu kiongozi wa nchi...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Vituo vya karantini vimejaa – Kagwe
NA ANGELA OKETCH SERIKALI imeanza mchakato wa kuunda mwongozo wa kuwatunzia nyumbani wanaougua Covid-19 na waliotangamana nao, huku...